Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,554
- 9,531
Kwa mara ya kwanza navaa kiatu mwaka 1978 Darasa la sita huku nyuma ilikuwa ni kupekuwa tu
watoto wa siku hizi wana raha sana ukiwaambiwa tulikuwa tunapekuwa shuleni wanakuona wa ajabu sana ili hali ndiyo ilikuwa hivyo
watoto wa siku hizi wana raha sana ukiwaambiwa tulikuwa tunapekuwa shuleni wanakuona wa ajabu sana ili hali ndiyo ilikuwa hivyo