Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Nakubaliana na tafiti za watu mbalimbali kwamba CCM ITASHINDA KWA 99% hii ni kweli na mimi kama superbug naiamini CCM ila naomba niuthibitishie umma kwamba CCM inapendwa sana Tanzania.
Naiomba Polisi na vyombo vya usalama vikae pembeni vilinde uamuzi wa wananchi.
Hii itathibitisha kwamba chama changu CCM kimeshinda kwa halali na kukakata ngebe za upinzani.
Hashtag #tanpolstayawaywithourpolls also #wearebornfree
Vyombo vya usalama na sisi wananchi tunaipenda CCM mno tuiache isimame yenyewe.
Naiomba Polisi na vyombo vya usalama vikae pembeni vilinde uamuzi wa wananchi.
Hii itathibitisha kwamba chama changu CCM kimeshinda kwa halali na kukakata ngebe za upinzani.
Hashtag #tanpolstayawaywithourpolls also #wearebornfree
Vyombo vya usalama na sisi wananchi tunaipenda CCM mno tuiache isimame yenyewe.