Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
...jamani, hata shule itanishinda! Kikwete anaona fahari gani kujiita rais wa Taifa letu tunalolipenda? Lini ataiipenda nchi yetu? Mlio na mawasiliano nae mwambieni kuwa angalau ataokoa reputation yake japo kwa kiwango kidogo kama atakubali kuwa nchi imemshinda.