Naam, Makonda tena anachallenge status Quo!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,782
Baada ya kubadilisha mfumo wa PF3 sasa Mkuu wa Mkoa wa Dar amekuja na nyingine nayo ni kuhakikisha kila Mtaa wa Dar yetu unakuwa na majina rasmi pmj na namba za nyumba, amesema anawaagiza Wakuu wa Serikali za Mitaa wote kulifanyia kazi hilo swala ili Barua ziwe zinaltwa majumbani mwetu na Posta badala ya kwenda kufwata mwenyewe Kijitonyama au Posta!

Big Up Makonda only sky is the limit man!!!
Endelea kujiuliza maswali kuna mambo mengi sana tunafanya kwa mazoea tu lkn siyo ya lazima na tunaweza kuyabadilisha!

DSCF2294%2B-%2BCopy.jpg
 
Ww kazana tu mitandaoni kuwasifia wanaume wenzako,wakat huna hata mia nyumbu ww
Big up Makonda! wakiwa na wajane jamii ya akina ''BILGERT'' wa UKAWA wameishiwa pumzi na wanaweweseka.... endelea kuwakita.... you are doing great job brother!
 
Big up Makonda! wakiwa na wajane jamii ya akina ''BILGERT'' wa UKAWA wameishiwa pumzi na wanaweweseka.... endelea kuwakita.... you are doing great job brother!
Teh,vp Trump utashnda lkn hapo USA,maana wana republican hawakukubal kabisa
 
foleni
maji
hospital/madawa
umeme
barabara za ndani
mipango miji
ufisadi
majitaka
uchafu
taa za barabarani
sehemu za wazi kupumzika na kubadilisha hewa ya jiji
barabara kuu za jiji
sharia za barabarabi
ajira
watoto/wazee mitaani
madawa ya kulevya
.........
.....
ongezea zako
 
Hii project posta waliianza siku nyingi tangu 2010 siyo makonda ni posta wenyewe msitafute sifa IPO arusha pia Na itaendelea Tanzania mzima


Hakuna aliyesema kwamba Mkuu wa Mkoa ndiyo ameanzisha bali amepokea kijiti kama yalivyo mambo mengi kama siyo yote hata Raisi Magufuli hakuna aliloanzisha bali anaendeleza yale ambayo watangulizi wake waliyaanzisha na ndiyo maana wanasema kupokezana kijiti ndiyo maana yake, hivyo Mkuu wa Mkoa Makonda kwa upande wake amesema ili kulifanikisha hilo atasimamia Mitaa yote iwe na Majina na namba za nyumba!
 
Hakuna aliyesema kwamba Mkuu wa Mkoa ndiyo ameanzisha bali amepokea kijiti kama yalivyo mambo mengi kama siyo yote hata Raisi Magufuli hakuna aliloanzisha bali anaendeleza yale ambayo watangulizi wake waliyaanzisha na ndiyo maana wanasema kupokezana kijiti ndiyo maana yake, hivyo Mkuu wa Mkoa Makonda kwa upande wake amesema ili kulifanikisha hilo atasimamia Mitaa yote iwe na Majina na namba za nyumba!
Apokee kijiti makonda ni mkuu Wa posta acheni sifa sifa wanatakiwa wapewe shirika la posta wenyewe siyo makonda dar Na arusha project inakaribia kumalizika itaendelea tanga morogoro mtwara lindi Na mwanza kwa mujibu Wa posta sifa hizi ni za shirika la posta kwa kuleta huu mfumo mzuri Na wanataka kuweka mpaka map kama Google map kwa akili ya kuwafikia wateja wao kiurahisi
 
Apokee kijiti makonda ni mkuu Wa posta acheni sifa sifa wanatakiwa wapewe shirika la posta wenyewe siyo makonda dar Na arusha project inakaribia kumalizika itaendelea tanga morogoro mtwara lindi Na mwanza kwa mujibu Wa posta sifa hizi ni za shirika la posta kwa kuleta huu mfumo mzuri Na wanataka kuweka mpaka map kama Google map kwa akili ya kuwafikia wateja wao kiurahisi


Usiwe mgumu kuelewa namna hiyo, siyo kazi ya Posta kutoa majina ya mitaa na namba za nyumba bali ni kazi ya Serikali za Mitaa pamoja na Jiji la Dar na ndiyo maana Posta wenyewe ndiyo waliomulika Mkuu wa Dar!
 
Usiwe mgumu kuelewa namna hiyo, siyo kazi ya Posta kutoa majina ya mitaa na namba za nyumba bali ni kazi ya Serikali za Mitaa pamoja na Jiji la Dar na ndiyo maana Posta wenyewe ndiyo waliomulika Mkuu wa Dar!
Kwa hiyo makonda ndio atatoa Namba za nyumba Tanzania mzima wewe ungewapongeza shirika la posta kwenye hili siyo makonda haya mashirika pia yanahitaji kupongezwa yakifanya vitu vizuri pia yanaendeshwa Na watanzania wenzetu nao wanahitaji motisha
 
Kwa hiyo makonda ndio atatoa Namba za nyumba Tanzania mzima wewe ungewapongeza shirika la posta kwenye hili siyo makonda haya mashirika pia yanahitaji kupongezwa yakifanya vitu vizuri pia yanaendeshwa Na watanzania wenzetu nao wanahitaji motisha


Ni wapi imeandikwa kwamba Mkuu wa Dar atatoa namba za nyumba TZ nzima?
 
As funny as usual.....kuna vitu kiongozi lazima uelewe maswala Kwa kina kwanza kabla ya kukurupuka kuahidi na kutoa maagizo.....Hilo sio mambo jipya, issue ilikuwa Ni changamoto za utekelezaji wake.......BTW shida kuu za Dar es salaam hazijawah kuwa anuani za makazi......maji, usafiri, foleni, viwanja vilivyovamiwa, makazi duni, wezi nk.......naona Ana deviate responsibilities zake Kwa kuendeleza kutafuta sofa za kijinga.........do your job man, acha matokeo yaongee sio wew na amri zisizo na kichwa wala miguu....wapambe mkumbusheni Kuna miaka Dar iliitwa ya Makamba
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom