Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,130
- 15,549
Na hili ndo kosa kubwa mnalolifanya watu wenye elimu kichwani huku akili mkiwa mmeiaminisha kwamba hakuna mafanikio kama hujaajiriwa na hapa ndipo hasa msingi wa majuto yako ulipo,kusoma siyo lazima kuajiriwa elimu ni kupata maarifa mapya na kuongeza ujuzi wa kile ambacho unahisi hukijui vizuri ili ukijue na ukifanye kwa usahihi zaidi.Kidogo nna experience ya ujasiria mali coz hata wakati naenda kweny ajiara nlitoka kwenye biashara ambayo nlishaiona inaangalau afadhali ya Maisha so nataka nirudi kulekule
Acha kazi ukiwa na angalao nusu ya mtaji wa biashara uliyoukiifanya mwanzo kuwa na uzoefu siyo issue uzoefu mwenzake mtaji mtaani kuna show moja la kibabe sana linaendelea tulioko huku tuna-survive kiuzoefu tu wewe uliyekuwa unahesabu siku ukisubiri laki kadhaa na refer maneno yako hapo juu wewe ni baba wa familia ukiingia kichwa kichwa utapagawa tuliza akili kwanza.