zigii
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 516
- 210
Baada ya kumuona yule dada na uzuri aliokua nao yeye alinifuata na kunitongoza kuwa ananipenda sana anahitaji kuwa na mimi, nikamwambia mimi nina mke wangu ambae nampenda sana siwezi kumsaliti mke wangu.
Yeye aliendelea kunishawishi nimuache mke wangu na kuniahidi atanitunza na kunipa chochote ninachotaka ikiwa ni pamoja na hela nyingi na usalama wangu ikiwa mke wangu atakuja juu, nilipozidi kukutaa akanitishia ataniendea kwa babu.
Namba ushauri nifanye nini maana bado naipenda kazi yangu na mke wangu.
Yeye aliendelea kunishawishi nimuache mke wangu na kuniahidi atanitunza na kunipa chochote ninachotaka ikiwa ni pamoja na hela nyingi na usalama wangu ikiwa mke wangu atakuja juu, nilipozidi kukutaa akanitishia ataniendea kwa babu.
Namba ushauri nifanye nini maana bado naipenda kazi yangu na mke wangu.