Mabagala
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 1,477
- 325
Yaani ndo nimefika nyumbani sasa ivi kutoka kazini, nilikuwa kwenye daladala ziendazo mabibo ambazo wakati mwengine hukimbia foleni kwa kuzungukia huu upande wa tanesco. Ukipita pale ni kweli utaona kuna kajumba kamoja tu kamebaki, kwengine kote ni uwanja, hapo ndo kalianza kamjadala kasiko rasmi kama kawaida ya daladala. Eti mwendesha lile katapila akifika kwenhye hiyo nyumba haoni kitu cha kuvunja! Nimebaki nashangaa tu sielewi kama ni kweli. ila ukichungulia kwenye daladala basi utakaona hako ka kota kamebaki peke yake! umeiskia na wewe?