Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,237
- 34,182
Kama alisema mwanasiasa hasa huyo uliyemuweka kwenye avatar yako basi siaminiTaarifa iliyotoka (mpya) ni kuwa kuna tatizo dogo tu la mitambo linashughurikiwa.
KADA
Kama alisema mwanasiasa hasa huyo uliyemuweka kwenye avatar yako basi siaminiTaarifa iliyotoka (mpya) ni kuwa kuna tatizo dogo tu la mitambo linashughurikiwa.
KADA
We manyunya kweli kweli yani unataka kujifanya hujui matokeo ya kiwanda cha dangote kwa uchumi wa mtwara na Taifa kwa ujumla? acha unemba wewe na akili zako kama za Lipumba.Mimi sipendagi ujinga. Hivi gesi mnafkiri inatoka ardhini Bure haina gharama za uendeshaji? Kwahiyo Dangote ndo alikuwa a naleta maendeleo hapo kwenu mtwara na Lindi asingejenga kiwanda msingi Pata maendeleo?
Halafu wengine walivyo wajinga wanazungumzia ccm. Ccm imefanyaje sasa hapo Dangote?
Mtwara yote ni CUF na LINDI.
Narudia tena acheni ujinga JF.
Ningekuwa na ujasiri ningekutukana ila basi...!!!Acheni ujinga sasa mtu anataka gesi apewe Bure ili b Iweje? Kwani akipewa Bure ndo mmepata ajira Lindi na mtwara wote? Hiki kiwanda lipo hapo na kimeajiri watu nje ya mtwara na Lindi kwani ajira ni qualification si ukaazi wa mtwara na Lindi.
Hata ukiangalia mikoa iliyoendelea kuna rasilimali zimeendeleza hiyo mikoa iweje kusini isiendelezwe na rasilimali zake? Kabla ya barabara kwisha na ugunduzi wa ges watu wengi si mlikuwa hata kufanya kazi kusini hamtaki? Leo watu kinachofanya wapapende ni nini? Hivyo tunaomba kiwanda kiachweMimi sipendagi ujinga. Hivi gesi mnafkiri inatoka ardhini Bure haina gharama za uendeshaji? Kwahiyo Dangote ndo alikuwa a naleta maendeleo hapo kwenu mtwara na Lindi asingejenga kiwanda msingi Pata maendeleo?
Halafu wengine walivyo wajinga wanazungumzia ccm. Ccm imefanyaje sasa hapo Dangote?
Mtwara yote ni CUF na LINDI.
Narudia tena acheni ujinga JF.