Na sisi tukiamua SAA hakuna kutua hapa Tanzania na kukamata ndege yao itakuwa ndio jibu

Morning wapenda maendeleo wote..

Ingekuwa mm ndio kiongozi wa juu serikalini kabisa, dawa ya SAA waliozuia ndege yetu ni rahisi sana

1: Hakuna SAA kuruhusiwa kutua hapa Tanzania..

2: SAA wakija hapa ndege yao tunakamata na kuitaifisha..

Sbb za msingi ni hii hapa.. Wakati SAA wana ubia na ATCL michezo michafu sana walicheza na kuweka fake bills hasa za matengenezo ya ghali na matengenezo yalifanyika huko SAA katika hangars zao.. Bills za hivyo ni uwizi mkubwa, sbb mbia mmoja ndio anakufanyia maintenance alafu anakupiga juu kwa juu kwa bills za ajabu..

So serikali ikifanya hivyo, SAA hakuna kuwapa kibali cha kuja hapa Tanzania na akija ni kukamata ndege yao..

Hapo watatia adabu nawaambia na hasara watakayopata ndio watajifunza. Sbb kila siku SAA wanakuja Dar, sasa ni wakati wa kuwatia adabu, ASAP serikali cancel kibali cha SAA kuja hapa Tanzania. Yaani ingekuwa mimi, wangenikoma SAA wasingesahau maisha yao yote Tanzania ni nchi ya aina yake. Futa kabisa kibali cha SAA kuja hapa, haraka kabisa. 😡😡😡
Tanzania ina midudu mi.jinga sana kama hili Jay One.Linadhani labda Rais Cyril Ramaphosa ndo kazuia Ndege! Sasa unazuia Ndege ya SAA kutua Nchini kwa "Order" ipi ?
SAA wao wametumia "Order" ya Mahakama ndo Ndege yetu imezuiwa na mamlaka zingine zote zime "comply"! Hiyo ndo Rule of Law na si " Rule of the man"!
Tunawambia mjiendeleze mmeng'ang'ania upambe tu!
 
Morning wapenda maendeleo wote..

Ingekuwa mm ndio kiongozi wa juu serikalini kabisa, dawa ya SAA waliozuia ndege yetu ni rahisi sana

1: Hakuna SAA kuruhusiwa kutua hapa Tanzania..

2: SAA wakija hapa ndege yao tunakamata na kuitaifisha..

Sbb za msingi ni hii hapa.. Wakati SAA wana ubia na ATCL michezo michafu sana walicheza na kuweka fake bills hasa za matengenezo ya ghali na matengenezo yalifanyika huko SAA katika hangars zao.. Bills za hivyo ni uwizi mkubwa, sbb mbia mmoja ndio anakufanyia maintenance alafu anakupiga juu kwa juu kwa bills za ajabu..

So serikali ikifanya hivyo, SAA hakuna kuwapa kibali cha kuja hapa Tanzania na akija ni kukamata ndege yao..

Hapo watatia adabu nawaambia na hasara watakayopata ndio watajifunza. Sbb kila siku SAA wanakuja Dar, sasa ni wakati wa kuwatia adabu, ASAP serikali cancel kibali cha SAA kuja hapa Tanzania. Yaani ingekuwa mimi, wangenikoma SAA wasingesahau maisha yao yote Tanzania ni nchi ya aina yake. Futa kabisa kibali cha SAA kuja hapa, haraka kabisa.
Mkiambiwa mlikurupuka sana kuanzisha safari za nje ya nchi kabla ya 'harmonize' mazingira ya biashara mnajiona wajanja sana kutafuta kiki za kisiasa.... ....biashara yakimataifa lazima ifuate sharia uheshimu mkataba na ma kubaliano ya kimataifa, lazma italipwa hiyo pesa unacheza na bepari, Tz inahitaji sana S.A. kuliko S.A. inavohitaji Tz kwahiyo suala la revage sio logical kwa Tz.
 
Kwani ni wapi serikali au Rais wa nchi wamekataa kulipa hilo deni?

Hii ishu inaonesha incompetency ya either ofisi ya mwanasheria wa serikali au management ya ATCL.

Kama ni deni halali, litalipwa tu.
 
Morning wapenda maendeleo wote..

Ingekuwa mm ndio kiongozi wa juu serikalini kabisa, dawa ya SAA waliozuia ndege yetu ni rahisi sana

1: Hakuna SAA kuruhusiwa kutua hapa Tanzania..

2: SAA wakija hapa ndege yao tunakamata na kuitaifisha..

Sbb za msingi ni hii hapa.. Wakati SAA wana ubia na ATCL michezo michafu sana walicheza na kuweka fake bills hasa za matengenezo ya ghali na matengenezo yalifanyika huko SAA katika hangars zao.. Bills za hivyo ni uwizi mkubwa, sbb mbia mmoja ndio anakufanyia maintenance alafu anakupiga juu kwa juu kwa bills za ajabu..

So serikali ikifanya hivyo, SAA hakuna kuwapa kibali cha kuja hapa Tanzania na akija ni kukamata ndege yao..

Hapo watatia adabu nawaambia na hasara watakayopata ndio watajifunza. Sbb kila siku SAA wanakuja Dar, sasa ni wakati wa kuwatia adabu, ASAP serikali cancel kibali cha SAA kuja hapa Tanzania. Yaani ingekuwa mimi, wangenikoma SAA wasingesahau maisha yao yote Tanzania ni nchi ya aina yake. Futa kabisa kibali cha SAA kuja hapa, haraka kabisa. 😡😡😡

Hivi Mbwana Samatta ( ATCL ) anaweza akamtishia Lionel Messi au Christiano Ronaldo ( SAA ) Kiongozi wangu?
 
Morning wapenda maendeleo wote..

Ingekuwa mm ndio kiongozi wa juu serikalini kabisa, dawa ya SAA waliozuia ndege yetu ni rahisi sana

1: Hakuna SAA kuruhusiwa kutua hapa Tanzania..

2: SAA wakija hapa ndege yao tunakamata na kuitaifisha..

Sbb za msingi ni hii hapa.. Wakati SAA wana ubia na ATCL michezo michafu sana walicheza na kuweka fake bills hasa za matengenezo ya ghali na matengenezo yalifanyika huko SAA katika hangars zao.. Bills za hivyo ni uwizi mkubwa, sbb mbia mmoja ndio anakufanyia maintenance alafu anakupiga juu kwa juu kwa bills za ajabu..

So serikali ikifanya hivyo, SAA hakuna kuwapa kibali cha kuja hapa Tanzania na akija ni kukamata ndege yao..

Hapo watatia adabu nawaambia na hasara watakayopata ndio watajifunza. Sbb kila siku SAA wanakuja Dar, sasa ni wakati wa kuwatia adabu, ASAP serikali cancel kibali cha SAA kuja hapa Tanzania. Yaani ingekuwa mimi, wangenikoma SAA wasingesahau maisha yao yote Tanzania ni nchi ya aina yake. Futa kabisa kibali cha SAA kuja hapa, haraka kabisa. 😡😡😡
Kuna sheria na kanuni, hawawezi kuzuia bila kuwa na shida. Kuwa mpolee ujue chanzo ni nini
 
Uzuie SAA isitue Nchini for which grounds ?
Wao hawajazuia ndege yetu kutua SA,wameenda Mahakamani ku Seize ndege ili walipwe.
Na Pia wala hawajamtumia Kiongozi wa Juu Serikalini Bali wameenda Mahakamani.
Rule of Law
Dawa ya Deni ni kulipa
Halafu aliyewadanganya kuwa Kiongozi wenu Mkuu wa Serikali neno lake ndio Sheria anataka kuwapeleka nyie Wananchi msiojitambua,Mbumbumbu,Nyumbu,kuishia kuwa na nchi kama Zimbabwe
mkuu unatutukana sana kutuita ‘msiojitambua, Mbumbumbu, Nyumbu’ ila hapo kwenye ‘Rule of Law’ nakupa BIG RESPECT.
 
Morning wapenda maendeleo wote..

Ingekuwa mm ndio kiongozi wa juu serikalini kabisa, dawa ya SAA waliozuia ndege yetu ni rahisi sana

1: Hakuna SAA kuruhusiwa kutua hapa Tanzania..

2: SAA wakija hapa ndege yao tunakamata na kuitaifisha..

Sbb za msingi ni hii hapa.. Wakati SAA wana ubia na ATCL michezo michafu sana walicheza na kuweka fake bills hasa za matengenezo ya ghali na matengenezo yalifanyika huko SAA katika hangars zao.. Bills za hivyo ni uwizi mkubwa, sbb mbia mmoja ndio anakufanyia maintenance alafu anakupiga juu kwa juu kwa bills za ajabu..

So serikali ikifanya hivyo, SAA hakuna kuwapa kibali cha kuja hapa Tanzania na akija ni kukamata ndege yao..

Hapo watatia adabu nawaambia na hasara watakayopata ndio watajifunza. Sbb kila siku SAA wanakuja Dar, sasa ni wakati wa kuwatia adabu, ASAP serikali cancel kibali cha SAA kuja hapa Tanzania. Yaani ingekuwa mimi, wangenikoma SAA wasingesahau maisha yao yote Tanzania ni nchi ya aina yake. Futa kabisa kibali cha SAA kuja hapa, haraka kabisa.
Acha kuandika urojo wewe ni MTU mzima
 
Morning wapenda maendeleo wote..

Ingekuwa mm ndio kiongozi wa juu serikalini kabisa, dawa ya SAA waliozuia ndege yetu ni rahisi sana

1: Hakuna SAA kuruhusiwa kutua hapa Tanzania..

2: SAA wakija hapa ndege yao tunakamata na kuitaifisha..

Sbb za msingi ni hii hapa.. Wakati SAA wana ubia na ATCL michezo michafu sana walicheza na kuweka fake bills hasa za matengenezo ya ghali na matengenezo yalifanyika huko SAA katika hangars zao.. Bills za hivyo ni uwizi mkubwa, sbb mbia mmoja ndio anakufanyia maintenance alafu anakupiga juu kwa juu kwa bills za ajabu..

So serikali ikifanya hivyo, SAA hakuna kuwapa kibali cha kuja hapa Tanzania na akija ni kukamata ndege yao..

Hapo watatia adabu nawaambia na hasara watakayopata ndio watajifunza. Sbb kila siku SAA wanakuja Dar, sasa ni wakati wa kuwatia adabu, ASAP serikali cancel kibali cha SAA kuja hapa Tanzania. Yaani ingekuwa mimi, wangenikoma SAA wasingesahau maisha yao yote Tanzania ni nchi ya aina yake. Futa kabisa kibali cha SAA kuja hapa, haraka kabisa. 😡😡😡
Dawa ya deni ni kulipa hela IPO,ukiikamata ndege yao deni litaongezeka
 
Hapo diplomacy ichukue nafasi yake.Always tumesema diplomacy imepolomoka awamu hii.wako bize na mambo ya kijinga ya kina Lissu mawakuli 16 bila shaka hili watapeleka mawakili 59.
Lakin hii ni trailer tu.Ile ya india itadakwa soon kuanzia sasa.diplomacy diplomacy.TISS wafante inteligency za kiuxhumi pia.bila shaka wangeshadokezwa maana mpka ndege inazuiwa kuna watu zaidi ya 10 walishajua.SA ni nchi ambayo tupo nayo Close hivyo lazima TISS wafike huko kama ambavyo RWanda wanadunda bongo kama yao.Si ajabu Rwanda walishajua kuwa dude litaseta down lakin hawakututonya
 
Ilisikika sauti ya Teja mmoja akiwapa mawazo mateja wenzake maeneo ya lumumba
Morning wapenda maendeleo wote..

Ingekuwa mm ndio kiongozi wa juu serikalini kabisa, dawa ya SAA waliozuia ndege yetu ni rahisi sana

1: Hakuna SAA kuruhusiwa kutua hapa Tanzania..

2: SAA wakija hapa ndege yao tunakamata na kuitaifisha..

Sbb za msingi ni hii hapa.. Wakati SAA wana ubia na ATCL michezo michafu sana walicheza na kuweka fake bills hasa za matengenezo ya ghali na matengenezo yalifanyika huko SAA katika hangars zao.. Bills za hivyo ni uwizi mkubwa, sbb mbia mmoja ndio anakufanyia maintenance alafu anakupiga juu kwa juu kwa bills za ajabu..

So serikali ikifanya hivyo, SAA hakuna kuwapa kibali cha kuja hapa Tanzania na akija ni kukamata ndege yao..

Hapo watatia adabu nawaambia na hasara watakayopata ndio watajifunza. Sbb kila siku SAA wanakuja Dar, sasa ni wakati wa kuwatia adabu, ASAP serikali cancel kibali cha SAA kuja hapa Tanzania. Yaani ingekuwa mimi, wangenikoma SAA wasingesahau maisha yao yote Tanzania ni nchi ya aina yake. Futa kabisa kibali cha SAA kuja hapa, haraka kabisa.
 
Mkuu hoja ujibiwa kwa hoja,kama bills ni kubwa basi wakazichallage mahakamani.
 
Morning wapenda maendeleo wote..

Ingekuwa mm ndio kiongozi wa juu serikalini kabisa, dawa ya SAA waliozuia ndege yetu ni rahisi sana

1: Hakuna SAA kuruhusiwa kutua hapa Tanzania..

2: SAA wakija hapa ndege yao tunakamata na kuitaifisha..

Sbb za msingi ni hii hapa.. Wakati SAA wana ubia na ATCL michezo michafu sana walicheza na kuweka fake bills hasa za matengenezo ya ghali na matengenezo yalifanyika huko SAA katika hangars zao.. Bills za hivyo ni uwizi mkubwa, sbb mbia mmoja ndio anakufanyia maintenance alafu anakupiga juu kwa juu kwa bills za ajabu..

So serikali ikifanya hivyo, SAA hakuna kuwapa kibali cha kuja hapa Tanzania na akija ni kukamata ndege yao..

Hapo watatia adabu nawaambia na hasara watakayopata ndio watajifunza. Sbb kila siku SAA wanakuja Dar, sasa ni wakati wa kuwatia adabu, ASAP serikali cancel kibali cha SAA kuja hapa Tanzania. Yaani ingekuwa mimi, wangenikoma SAA wasingesahau maisha yao yote Tanzania ni nchi ya aina yake. Futa kabisa kibali cha SAA kuja hapa, haraka kabisa. 😡😡😡

Hizi rafu tufanyiane sie tu ndani ya nchi...ukivuka mpaka, shika adabu yako maana sheria za mchezo zipo tofauti sana.
 
South Africa ni nchi inayoongozwa kwa utawala wa sharia na kwa mihimili imara inayojitegemea!

Ramaphosa hawezi kutia pua yake kwenye mambo ya kimahakama kama madikteta uchwara wengine wanavyofanya hapa Tanganyika. Hivyo hahusiki na lolote kwenye hilo.

Comply with the court order or get lost! Usitupigie makelele hapa!
 
Morning wapenda maendeleo wote..

Ingekuwa mm ndio kiongozi wa juu serikalini kabisa, dawa ya SAA waliozuia ndege yetu ni rahisi sana

1: Hakuna SAA kuruhusiwa kutua hapa Tanzania..

2: SAA wakija hapa ndege yao tunakamata na kuitaifisha..

Sbb za msingi ni hii hapa.. Wakati SAA wana ubia na ATCL michezo michafu sana walicheza na kuweka fake bills hasa za matengenezo ya ghali na matengenezo yalifanyika huko SAA katika hangars zao.. Bills za hivyo ni uwizi mkubwa, sbb mbia mmoja ndio anakufanyia maintenance alafu anakupiga juu kwa juu kwa bills za ajabu..

So serikali ikifanya hivyo, SAA hakuna kuwapa kibali cha kuja hapa Tanzania na akija ni kukamata ndege yao..

Hapo watatia adabu nawaambia na hasara watakayopata ndio watajifunza. Sbb kila siku SAA wanakuja Dar, sasa ni wakati wa kuwatia adabu, ASAP serikali cancel kibali cha SAA kuja hapa Tanzania. Yaani ingekuwa mimi, wangenikoma SAA wasingesahau maisha yao yote Tanzania ni nchi ya aina yake. Futa kabisa kibali cha SAA kuja hapa, haraka kabisa.
Ndege ile imekamatwa kwa hati ya amri ya Mahakama ya jimbo la Gauteng kutokana na deni la zaidi ya dola million 4 ATCL iliyokuwa inadaiwa na mshirika wake SA.... Sasa sisi tutakamata ndege yao kwa grounds zipi?
 
Back
Top Bottom