Waziri kivuli
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 2,987
- 3,450
We simply dont care,jibu ni rahisi hivyo!Mimi ni mmoja wa mpinganji mkubwa wa kubadilisha barabara yetu yenye Historia ya jiji letu na kumpa Mpinga kristo Obama, hilo liko wazi na sielewi kwa nini Raisi Magufuli halifuti hili labda nisababu ya heshima yake kwa Raisi mstaafu Kikwete, lkn ukiniluza mimi ilipaswa kuondolea mara moja na kurudisha Kivukoni yetu!