Kirikou Wa Kwanza
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 3,564
- 1,989
Mzee mmoja alikuwa anaumwa Maralia, ikabidi aende Hospital kupima. Alipofika, Nesi akamchoma sindano kwenye kidole cha kati, lakini akashaangaa kuona damu haitoki, ikabidi aanze kunyonya kidole ili damu ipate kutoka. Mzee aliposikia raha ya kunyonywa imezidi akamwambia "Nesi na Mkojo pia hautoki" Ha ha haa www.majanga.com