kipipili
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 1,590
- 183
Mkurugenzi wa masoko wa TBL David Minja (shoto) akipiga stori na Mkurugenzi wa Masoko wa Vodacom Ephrahim Mafuru.
Ndugu wanajamii, kila nikiwaona hawa jamaa napata shauku kwamba siku moja nami niwe mkurugenzi anagalau wa ufundi(kwa fani yangu) wa moja ya makampuni makubwa kama haya hapa nchini..lakini mbona siku hiyo haifiki tu.Shahada ya chuo ninayo, uzoefu wa kufanya kazi viwandani ninao(miaka 10) au ndiyo kukosa bahati, elimu bora au god father sijui. Nifanyeje jamani au nigombee ubunge tu mwaka huu.Au ndiyo nisubiri subiri mpaka nizeeke kwanza..
Ndugu wanajamii, kila nikiwaona hawa jamaa napata shauku kwamba siku moja nami niwe mkurugenzi anagalau wa ufundi(kwa fani yangu) wa moja ya makampuni makubwa kama haya hapa nchini..lakini mbona siku hiyo haifiki tu.Shahada ya chuo ninayo, uzoefu wa kufanya kazi viwandani ninao(miaka 10) au ndiyo kukosa bahati, elimu bora au god father sijui. Nifanyeje jamani au nigombee ubunge tu mwaka huu.Au ndiyo nisubiri subiri mpaka nizeeke kwanza..