TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,075
"'...Vijana woote waliomaliza Form Four watafanyiwa sensa wajulikane wako wangapi...hawa ndio 'watakao saidia kuendeleza' kilimo kwanza...... na Mheshimiwa rais nimeishamwambia."' Mheshimiwa Makida alipokuwa akiwahutubia wakazi wa Njombe (Rejea Taarifa ya ITV jana saa mbili usiku). Tatizo langu wanaJF ni uhalali wa Mh. Makinda kutoa kauli hiyo kama yeye ndio msemaji wa serikali. Kwa maoni yangu, inaonekana hakuna mgawanyo wa majukumu ya nani aseme kipi na nani afanyelipi kulingana na nafasi aliyonayo.