batadume
Senior Member
- Mar 4, 2011
- 101
- 7
oyaaa mazeee na mchumba wangu ila sijui kama nampenda b'se nikikaa huwa some times namuona waukweli tena nikikaa some times namuuona wakiuwongo kama nime ingia choo cha kike vile nifanyeje sasa hii issue inanisumbua sana kichwa changu waungwana hebu naombeni msaada wenu wakimawazo zaidi>>>>>>>