Na majivuno yote hayo, mpaka leo Magufuli hajavunja record ya GDP iliyoachwa na Kikwete

Hatukatai utawala bora na demokrasia vikawa vimojawapo kwenye ukuaji wa uchumi lakini sio sana.Unataka watu walambwe miguu ili walipe kodi bila kutumia nguvu unadhani inawezekana,wafanyabiashara wanaingiza biashara zao kimagendo hawalipi kodi na wengine hata kudanganya vipato vyao.Wanachukua mishahara hewa,elimu hewa. Watu wanaphd hewa unadhani watafanya uchumi ukue,tambua huo utakuwa uchumi hewa uliokua.Sasa anapokuja kiongozi anayetumia nguvu ili hayo mambo yasikuwepo watu mnasema hakuna demokrasia,utawala wake ni wakimabavu kumbe yeye ndio anaiweka nchi katika hali ya ukweli na sio wa kihewahewa tu.Acha tupigike tu lakini matumizi ya kodi zetu tunaziona huyo anayesema uchumi unashuka ataendelea kuangalia tu hiyo statistics yake na wengine tutaangalia statistic yetu ya maendeleo.Hapa kazi tu.
Usishangae siku kumo unaambiwa hata takwimu za watumishi hewa nazo zilikuwa hewa!
 
Jibu lako ni rahisi sana kipindi cha jk mambo mengi yalikuwa ya hewa sana na ndio maana watu walimchoka na wakataka rais mkali ili aweze kuweka mambo sawa,sasa kaingia mzee wetu hodari kabisa asiyemuogopa yeyote anasahihisha makosa yote yaliyokuwepo.Na ukitazama kwa umakini sana utakuta hata CAG alishiriki kulidanganya taifa kuweka data zake za hewa na kumpa kazi mzee wetu kwa kipindi hiki anachotaka kuleta maendeleo ya nchi yetu iwe kama nchi zilizoendelea.Unadhani nchi inayotaka kuendelea uchumi wake utakuwa kwa haraka?utakuwa taratibu sana kwa vile pande mbili zinakimbizana nikiimaanisha maendeleo na uchumi.Utakuwa umeelewa sasa.piga kazi umsaidie mzee magufuli kukuza uchumi na kuleta maendeleo.Hapa kazi tuuuu.;
Tunachohitaji ni maendeleo. Acha kila m2 ale kwa urefu wa kamba yake. Kikwete bado ni bora zaid kama alifabya yote hayo wakati uchumi ulikuwa unahujumiwa.
 
Watu naona hamuelewi tu, GDP haipimi wala kubadili kitu kwenye masuala ya Uchumi. Siku ukiona GDP imekua hadi kufikia 9% usije shangilia ukidhani Magufuli anafanya vizuri kuliko JK. GDP is a very deceiving economic index. Angalieni indicator zingine kama zipo, kama zina akisi kushuka ama kukua kwa GDP then ruksa kutoa hitimisho.

Achaneni na hicho Kipimo, au tujifunze kwa USA, wenzetu GDP haina maana kuliko Non farm Payroll, manufacturing index, unemployment, import and export, interest rate na exchange rate. Stability ya hivi vitu ndiyo inaleta maendeleo ya kiuchumi na siyo GDP.

NIONAVYO MIMI, IN THE SHORT-RUN NAONA UCHUMI WETU UKO MAHUTUTI LAKINI, NINAZO SABABU NYINGI ZA KUAMINI KUWA IN THE LONG RUN, TUTARUDI KWENYE MSTARI NA UCHUMI WETU UTAIMARIKA REGARDLESS OF GDP SIZE.

Mbarikiwe sana
 
Kupungua kwa ukuaji wa uchumi wetu umetokana mambo yafuatayo
1. Unstable democracy(Demokrasia yenye mashaka) - Hii imepelekea watu na taasisi zetu za ndani kuwa na uoga kujiingiza katika miradi ya muda mrefu ya kudumu kwa sababu hujui kama kesho utakuwa nao au utanyanganywa na serikali au utabambikiwa kesi kwa sababu haukubaliani na falsafa ya serikali.
2. Serikali kupambana na sekta binafsi - Private sector ni muhimu kwa ukuaji wa uchumi, hata hii sera ya viwanda haitafanikiwa bila kuiboost private sector, serikali haiwezi kufanya biashara, ila itengeneze framework nzuri ya private sector kushamiri. Kwa sasa serikali inalenga kujitegemea kwa kila kitu ifanye na kucontrol yenyewe. Huawei or Apple or Google ni kampuni binafsi lakin impact yake kiuchumi hata serikali zao wasingeweza kufanya.
3. Ruthless Tax regime - Sera ya kodi imekuwa chungu sana kwa biashara za wazawa. Kodi ni nyingi na zinaumiza, licha ya jitihada za serikali kupooza upepo lakini since 2016 a lot of damages have been done, wengi either wamefunga, wamediversify au wame scale down operations.
4. Investor relations - FDI(uwekezaji wa moja kwa moja kutoka nje) umeshuka kutoka na jinsi wawekezaji wengi wanavyokuwa treated mf: acacia, fastjet, dangote etc. inawapa ukakasi wawekezaji wengne wakubwa kumake moves.
5. Liquidity: Move ya serikali kuhodhi fedha zote mf: kunyanganya mabenki pesa na kuwa na BOT central account, madhumuni ni mazuri sana ila execution ilivofanyika ndo effects zake tunaziona.

Mambo ni mengi muda mchache, ntaendelea siku ingne.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ona sasa unavyohangaika! Awali ulisema nitakuwa mnufaika kwenye sekta ya gas, na sasa umebadilika na kudai nitakuwa nimesoma mambo ya gas au nafanya kazi kwenye sekta ya gas! Yaani akili yako ipo kule kule ambayo inathibitisha jambo moja tu: WEWE NI MBINAFSI ambae unatetea kile tu chenye maslahi kwako!!

FYI, nimesoma BSc. Agric Economics & Agribusiness na digrii moja IMENITOSHA! Kwamba eti nafanya kazi kwenye sekta ya gas am sorry to disappoint you kwamba sifanyi kazi ya mtu yeyote na hata senti 5 inayotokana na biashara ya gas sijawahi kuionja maishani mwangu!

Watu hapa hatuzungumzii ushabiki au mahaba yetu binafsi bali tunazungumzia masuala yenye maslahi kwa taifa!!

Wewe umekalia ushabiki wa kisiasa na ndio maana kila post eti "Magufuli goo! Goo!" Unless kama ni ndugu yako na kwahiyo utafaidika kutokana na undugu wenu lakini kama nawe ni Mtanzania tu wa kawaida kama wengine basi utaishia kusema Magufuli Go go huku mkiumia kama ambavyo wenzako wamekuwa wakisema go go tangu 2016 na hadi leo hata ajira hawana!

Watapata vipi ajira ikiwa 1 Trillion inawekezwa kwenye invetiment isiyoweza kutoa direct employment hata 100 huku return to investment ikiwa ni negative?! Watatoa wapi ajira ikiwa takribani Trilioni 8 inataka kuwekezwa kwenye uzalishaji wa umeme ambao haujaandaliwa mazingira ya ku-utlize kwake huku tukiambiwa mkoa mkubwa kama Arusha wanashindwa ku-utilize hata 150MW?!

So, keep singing Magufuli go go huku mnaendelea kusaga meno!!

Kwamba eti tunalinganisha umeme wa maji na umeme wa gas; sorry to disappoint you kwamba mwenzako naangalia economy at large! Always economy and investments ndizo my favorite topics kwa JF!!! Kama kuna watu wanaitwa Makuwadi wa Mabeberu basi mie ndie mmoja wa hao makuwadi!!!

Mabeberu na mawakala wao tunaangalia returns on investjments na sio bla blah!! Kwamba eti siwahurumii wananchi wa kawaida hizo ni kauli za kinafiki za wanasiasa ambazo na wewe umezikopy kama zilivyo!!!

Ni kauli za kinafiki kwa sababu ni Magufuli huyo huyo ambae kila leo ana-impose tax huku na kule huku akijua wazi kwamba in most case, tax burden goes to the last use ambae ndie huyo mwananchi!! Ni Magufuli huyo huyo ndie kazitamani hata Sh. 20K za Wamachinga na ili kuzipata akaja na gia za vitambulisho!! NI Magufuli huyo huyo ambae alipoingia madarakani tu, akapiga marufuku uagizaji wa sukari kutoka nje kwa kisingizio kwamba uagizaji huo unaua viwanda vya ndani vya sukari! Ambae aliaathirika kwenye katazo lile ni mwanachi kwa sababu sukari ilipanda bei within a week!

So, stop using wananchi as excuse kwa sababu serikali hauiwaangalii hao wananchi!

Nimekuletea habari za solar and wind power kukuonesha kwamba hoja yako ya urahisi wa umeme wa maji ni dhaifu kwa sababu kama issue ni urahisi basi wangewekeza nguvu kwenye solar and wind power!! Tena tungeweza kuachana hata na solar power

Kwamba unachompendea Magufuli ni kutorudi nyuma kwake ni kwa sababu wewe ni shabiki maandazi ambae huangalii maslahi ya taifa bali upo hapa kupigia makofi chochote kinachofanywa na Magu's administration! Mlipiga makofi kwenye ununuzi wa ndege ambazo kila mtafiti wa mambo alifahamu hili ni shipa!! Kwahiyo kumpendea kwako Magufuli na tabia yake ya kutorudi nyuma ndo huko kulikomfanya hadi Wakala wa Ndege za Serikali akimbizie Ikulu ili CAG asikague!!!!!
Mkuu kwa Issue ya CAG Niko na CAG....Msiwe mnapinga kila kitu Mkuu...mimi nimeishia diploma nimekosa Mkopo ila nakomaa mwakani huenda nikapata mkuu.
 
Mkuu kwa Issue ya CAG Niko na CAG....Msiwe mnapinga kila kitu Mkuu...mimi nimeishia diploma nimekosa Mkopo ila nakomaa mwakani huenda nikapata mkuu.
Kumbe hata shule hujamaliza hujui maisha. Ngoja umalize shule kwanza akili zako ndyo zitapevuka.
 
Kupungua kwa ukuaji wa uchumi wetu umetokana mambo yafuatayo
1. Unstable democracy(Demokrasia yenye mashaka) - Hii imepelekea watu na taasisi zetu za ndani kuwa na uoga kujiingiza katika miradi ya muda mrefu ya kudumu kwa sababu hujui kama kesho utakuwa nao au utanyanganywa na serikali au utabambikiwa kesi kwa sababu haukubaliani na falsafa ya serikali.
2. Serikali kupambana na sekta binafsi - Private sector ni muhimu kwa ukuaji wa uchumi, hata hii sera ya viwanda haitafanikiwa bila kuiboost private sector, serikali haiwezi kufanya biashara, ila itengeneze framework nzuri ya private sector kushamiri. Kwa sasa serikali inalenga kujitegemea kwa kila kitu ifanye na kucontrol yenyewe. Huawei or Apple or Google ni kampuni binafsi lakin impact yake kiuchumi hata serikali zao wasingeweza kufanya.
3. Ruthless Tax regime - Sera ya kodi imekuwa chungu sana kwa biashara za wazawa. Kodi ni nyingi na zinaumiza, licha ya jitihada za serikali kupooza upepo lakini since 2016 a lot of damages have been done, wengi either wamefunga, wamediversify au wame scale down operations.
4. Investor relations - FDI(uwekezaji wa moja kwa moja kutoka nje) umeshuka kutoka na jinsi wawekezaji wengi wanavyokuwa treated mf: acacia, fastjet, dangote etc. inawapa ukakasi wawekezaji wengne wakubwa kumake moves.
5. Liquidity: Move ya serikali kuhodhi fedha zote mf: kunyanganya mabenki pesa na kuwa na BOT central account, madhumuni ni mazuri sana ila execution ilivofanyika ndo effects zake tunaziona.

Mambo ni mengi muda mchache, ntaendelea siku ingne.

Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka 20 ijayo, watoto wetu watakuwa wanasoma hii katika syllabus zao. "Reasons for Tanzania's Economic crisis during Magufuli's Regime"
 
Kila siku nasema, Jiwe alitakiwa kuwa mganga wa kienyeji tu tena yule wa matunguri na mazingaombwe. Na vile alivyompenda sifa angekuwa anajisifu kwa waganga wenzie kila akifanya mazingaombwe mapya. Na huo ndio ukomo wa uwezo wake.
 
Watu naona hamuelewi tu, GDP haipimi wala kubadili kitu kwenye masuala ya Uchumi. Siku ukiona GDP imekua hadi kufikia 9% usije shangilia ukidhani Magufuli anafanya vizuri kuliko JK. GDP is a very deceiving economic index. Angalieni indicator zingine kama zipo, kama zina akisi kushuka ama kukua kwa GDP then ruksa kutoa hitimisho.

Achaneni na hicho Kipimo, au tujifunze kwa USA, wenzetu GDP haina maana kuliko Non farm Payroll, manufacturing index, unemployment, import and export, interest rate na exchange rate. Stability ya hivi vitu ndiyo inaleta maendeleo ya kiuchumi na siyo GDP.

NIONAVYO MIMI, IN THE SHORT-RUN NAONA UCHUMI WETU UKO MAHUTUTI LAKINI, NINAZO SABABU NYINGI ZA KUAMINI KUWA IN THE LONG RUN, TUTARUDI KWENYE MSTARI NA UCHUMI WETU UTAIMARIKA REGARDLESS OF GDP SIZE.

Mbarikiwe sana
Wewe si ndyo wale wale ambao mlikuwa mkishangilia magufuli alipokuwa akijisifia kuwa uchumi unakuwa kwa 7.1% na unategemewa kufika 8.0. Sasa baada ya kuvurunda sasa GDP imekuwa haina maana.

Kwa taarifa yako inamaana sana. Investors wanaangalia GDP, loan institution wanaangalia GDP, wafadhili wanaangalia GDP. Sasa wewe endelea kubadilisha nyeusi kuwa nyekundu.
 
Mkuu kwa Issue ya CAG Niko na CAG....Msiwe mnapinga kila kitu Mkuu...mimi nimeishia diploma nimekosa Mkopo ila nakomaa mwakani huenda nikapata mkuu.
Unaona sasa! JPM mwenyewe ni radical anayeamini Msomi ni yule mwenye PhD! Sasa endelea kumshangilia lakini usije kushangaa ukisikia JPM amefuta mikopo kwa wanaochukua Diploma!!!

Rejea kwa wale waliokuwa wanasoma 3 Years Special Diploma Course (Science & Maths) pale UDOM ambao JK ali-introduce ile program ili kutatua uhaba wa walimu wa Sayansi na Hesabu! Alipoingia your BIGGEST HEROE, akafuta ile kozi na kusema hawana sifa na vilaza wakati majority walikuwa wamefaulu vizuri tu Form IV!!

Jomba, usishangae hata haka kadigrii kamoja tulikopata wengine, wewe unaweza ukaishia kukasikia JF kama matarajio yako makuu ni mkopo wa serikali!!
 
Back
Top Bottom