Na Kwa Hili UDSM/Mlimani Tukigoma Tufukuzwe!?

Yaani hichi ndo chuo bora Tz , ila kila siku tunawaza kugoma na kutafuta haki zetu za msingi ,
hivi tukijiuliza semester gani tumesoma wiki zote 17 serious hadi unamaliza shahada yako , utapata jibu gani ?
hivi ni lini serikali itaamua kumaliza haya matatizo ya muda mrefu ?
tufanyaje ili tumalize ili tatizo la ucheleweshaji wa BOOM once and for all...
 
Yaani hichi ndo chuo bora Tz , ila kila siku tunawaza kugoma na kutafuta haki zetu za msingi ,
hivi tukijiuliza semester gani tumesoma wiki zote 17 serious hadi unamaliza shahada yako , utapata jibu gani ?
hivi ni lini serikali itaamua kumaliza haya matatizo ya muda mrefu ?
tufanyaje ili tumalize ili tatizo la ucheleweshaji wa BOOM once and for all...

Aisee kama semester iliyopita imeenda faster mno. Duh! Hawa jamaa wanatuharibia sana.
 
Haya kilio chenu kimesikika hebu mkazichungulie account zenu ila tumieni kwa Nidham msitake mshindane na mie kwenye kiti kirefu mie mwenzenu nna uhakika kila mwezi na zingine za kiujanja ujanja ila zilizo halali"
 
Nimetoka pishana na msafala wa makamu wa raisi nkawa nahesabu idadi ya magari aliyoongozana nayo si chini ya kumi.
Moyoni nkawaza tungekuwa na serikali makini tungefanya cost saving apa ie including mafuta,idadi ya magari.
Kuweni wavumilivu JK soon ataenda USA maana hii ya UK haijaleta kitu zaidi ya kukubali wasomali washitakiwe Tz nduguze Al Shababy

ni magari zaid ya 50,labda haukuhesabu vizuri
 
Haya kilio chenu kimesikika hebu mkazichungulie account zenu ila tumieni kwa Nidham msitake mshindane na mie kwenye kiti kirefu mie mwenzenu nna uhakika kila mwezi na zingine za kiujanja ujanja ila zilizo halali"

sawa mkuu, ushauri mzuri, Ila hata mbuyu ulianza kama mchicha.
 
sawa mkuu, ushauri mzuri, Ila hata mbuyu ulianza kama mchicha.

Ni kweli ila kipindi una umri wa kama mchicha haukua ukitumika kwa mazindiko na kuchunwa magamba yake kwa dawa lkn ukishakua mkubwa vya kupendeza husujudiwa, hufanyia mazndko na hutumika kwa dawa"
 
Ni kweli ila kipindi una umri wa kama mchicha haukua ukitumika kwa mazindiko na kuchunwa magamba yake kwa dawa lkn ukishakua mkubwa vya kupendeza husujudiwa, hufanyia mazndko na hutumika kwa dawa"

hahahahahahaaa. Safi sana mzee wa hekima.
 
Back
Top Bottom