bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,697
- 4,107
Tukiwa na siku tatu, tu toka tufungue chuo baada ya kuwa na likizo ya wiki tatu, hakuna Boom (yaani hela ya kujikimu tukiwa chuo) cha ajabu ni kwamba hela hii aliyepewa dhamana ya kutoa hela hizo ni chuo, hapo awali bodi ya mikopo ndiyo walikuwa responsible.
Asilimia 75% ya wanachuo wa mlimani mpaka sasa hawajaripoti chuo kutokana na sababu mbalimbali kubwa ni kutopata boom kwani wengi wa hao hutegemea boom kwa nauli na kulipa ada.
Nawasilisha
Asilimia 75% ya wanachuo wa mlimani mpaka sasa hawajaripoti chuo kutokana na sababu mbalimbali kubwa ni kutopata boom kwani wengi wa hao hutegemea boom kwa nauli na kulipa ada.
Nawasilisha