Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,153
Kwema Wakuu,
Hivi Karibuni bei ya Mafuta imepanda kwa Takriban TZS 100 kwa lita kulinganisha na bei iliyokuwepo awali. Wengi wamejiuliza kwanini Mafuta haya yanauzwa Rahisi nchi za jirani kama Zambia wakati yanapita hapa hapa kwetu hivyo katika nchi hizo yangekua bei ghali zaidi.
Hapa chini ni mchanganuo wa bei ya Mafuta ya Petrol kwa Tanzania. CIF-DSM Price inaweza kua sawa ila kuanzia hapo kila serikali inaamua nini iongeze kwenye hiyo bei ndiomaana zinatofautiana.
Kuanzia 1-19 ni gharama zinazohusu Makampuni ya Mafuta. Na kuanzia 20 ni Wenye vituo vya mafuta
Hivi Karibuni bei ya Mafuta imepanda kwa Takriban TZS 100 kwa lita kulinganisha na bei iliyokuwepo awali. Wengi wamejiuliza kwanini Mafuta haya yanauzwa Rahisi nchi za jirani kama Zambia wakati yanapita hapa hapa kwetu hivyo katika nchi hizo yangekua bei ghali zaidi.
Hapa chini ni mchanganuo wa bei ya Mafuta ya Petrol kwa Tanzania. CIF-DSM Price inaweza kua sawa ila kuanzia hapo kila serikali inaamua nini iongeze kwenye hiyo bei ndiomaana zinatofautiana.
Kuanzia 1-19 ni gharama zinazohusu Makampuni ya Mafuta. Na kuanzia 20 ni Wenye vituo vya mafuta