Na huu ndio ujasiri tulio nao wa kuagiza airbus 2 na tunalipa kwa Cash

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,108
18,326
Juzi juzi hapa mmesikia tangazo ya kwamba serikali imeweka bakubaliano na airbus company kununua ndege 2 mpya .

Na baada ya siku kama 3 au 4 tukasikia tangazo kwamba wale wote wenye tuhuma za uhujumu uchumi wanaweza kuomba msamaha na kulipa fedha wanazo daiwa.

Huu ndio ujasiri tulionao kwamba tunanunua ndege kwa fedha zetu wenyewe baada ya kuona kuna fedha zimelala gerezani zinakula ugali wa bure.

Maskini hawa ndio hao hao inasemekana account zao zilikua compromised wakiwa gerezani.


Lakini sasa ni kweli ndege zitakuja na change zitabaki maana inaaemekana kuna zaidi ya bil 600 wanazo daiwa.

Lakini Je ni kweli hawa watu wanadaiwa kiasi hicho?

Je kuwalazimisha wakiri makosa na kulipa hata kama hawakutenda makosa hayo ili watoke gerezani ni haki?

Tuna uhakika gani kwamba fedha hizo zitaenda kwenye matumizi ya serikali?


Je ni lini tumekua na utaratibu kama huu?
 
Nasikia Manji alishajiondokea zamani
Juzi juzi hapa mmesikia tangazo ya kwamba serikali imeweka bakubaliano na airbus company kununua ndege 2 mpya .

Na baada ya siku kama 3 au 4 tukasikia tangazo kwamba wale wote wenye tuhuma za uhujumu uchumi wanaweza kuomba msamaha na kulipa fedha wanazo daiwa.

Huu ndio ujasiri tulionao kwamba tunanunua ndege kwa fedha zetu wenyewe baada ya kuona kuna fedha zimelala gerezani zinakula ugali wa bure.

Maskini hawa ndio hao hao inasemekana account zao zilikua compromised wakiwa gerezani.


Lakini sasa ni kweli ndege zitakuja na change zitabaki maana inaaemekana kuna zaidi ya bil 600 wanazo daiwa.

Lakini Je ni kweli hawa watu wanadaiwa kiasi hicho?

Je kuwalazimisha wakiri makosa na kulipa hata kama hawakutenda makosa hayo ili watoke gerezani ni haki?

Tuna uhakika gani kwamba fedha hizo zitaenda kwenye matumizi ya serikali?


Je ni lini tumekua na utaratibu kama huu?
 
Kimsingi silikari haina fweza...na huko kwenye ma ujenzi na ununuzi wa madege..usione wanakimbilia huko ni mwendo wa 10%...

Kimsingi usimwamini mtu..wanapiga kama kawaida.
#MaendeleoHayanaChama
 
Juzi juzi hapa mmesikia tangazo ya kwamba serikali imeweka bakubaliano na airbus company kununua ndege 2 mpya .

Na baada ya siku kama 3 au 4 tukasikia tangazo kwamba wale wote wenye tuhuma za uhujumu uchumi wanaweza kuomba msamaha na kulipa fedha wanazo daiwa.

Huu ndio ujasiri tulionao kwamba tunanunua ndege kwa fedha zetu wenyewe baada ya kuona kuna fedha zimelala gerezani zinakula ugali wa bure.

Maskini hawa ndio hao hao inasemekana account zao zilikua compromised wakiwa gerezani.


Lakini sasa ni kweli ndege zitakuja na change zitabaki maana inaaemekana kuna zaidi ya bil 600 wanazo daiwa.

Lakini Je ni kweli hawa watu wanadaiwa kiasi hicho?

Je kuwalazimisha wakiri makosa na kulipa hata kama hawakutenda makosa hayo ili watoke gerezani ni haki?

Tuna uhakika gani kwamba fedha hizo zitaenda kwenye matumizi ya serikali?


Je ni lini tumekua na utaratibu kama huu?
Mkuu nilisikia raisi akisema kuwa kwa maammuzi yao wenyewe waombe bila kulazimishwa... Kama humpendi raisi Ni sawa unahaki lakini sio kumponda ponda kwa vitu ambavyo hajavifanya. Amemlazimisha Nani akili kosa?
Kwanza hii ya wahujumu uchumi Ni agenda ya raisi mwenye maono ambayo mlikuwa hamuisemiii mlikuwa bussy na kigogo Mara tatu kwa siku.
 
Juzi juzi hapa mmesikia tangazo ya kwamba serikali imeweka bakubaliano na airbus company kununua ndege 2 mpya .

Na baada ya siku kama 3 au 4 tukasikia tangazo kwamba wale wote wenye tuhuma za uhujumu uchumi wanaweza kuomba msamaha na kulipa fedha wanazo daiwa.

Huu ndio ujasiri tulionao kwamba tunanunua ndege kwa fedha zetu wenyewe baada ya kuona kuna fedha zimelala gerezani zinakula ugali wa bure.

Maskini hawa ndio hao hao inasemekana account zao zilikua compromised wakiwa gerezani.


Lakini sasa ni kweli ndege zitakuja na change zitabaki maana inaaemekana kuna zaidi ya bil 600 wanazo daiwa.

Lakini Je ni kweli hawa watu wanadaiwa kiasi hicho?

Je kuwalazimisha wakiri makosa na kulipa hata kama hawakutenda makosa hayo ili watoke gerezani ni haki?

Tuna uhakika gani kwamba fedha hizo zitaenda kwenye matumizi ya serikali?


Je ni lini tumekua na utaratibu kama huu?
Hakuna aliyeshurutishwa kukubali
Kama kuna mtu hajakwapua,basis asubiri mkondo wa sheria,ushaidi utakosekana na jamhuri itashindwa kesi na atakuwa huru.
 
Nani anaidhinisha matumizi ya hizo hela?na je zinapelekwa hazina au kwenye account ya vote 20 ambako hakuna atakaekuwa na uwezo wa kuhoji matumizi yake?
 
Back
Top Bottom