Na hili nalo linasubiri Rais aseme? Kunyanyasa wenye maduka siku ya Jumamosi

Tulipata kukosoa hili jambo pindi lilipoanzishwa hatukueleweka siku wakionavathari zake watakuja na matamko mapya.
Tunajenga nchi kwa kukaa vibarazani masaa manne jumamosi tukifanya usafi kwa mdomo!!
 
Ni kero sehemu nyingine ni Mara mbili kwa mwezi.
Binafsi ningependekeza ukaguzi ufanyike watu wakiendelea na kazi zao,isipokuwa eneo lako likikutwa na uchafu ambao umeachwa uzagae na wakati unaendelea na shughuli ndipo ulipishwe faini.
Hii ya kufunga hadi pharmacy na huduma za chakula inaumiza watu sana.
Kuna mtu alikuwa na mgonjwa wametoka kijijini amefika Hosp.usiku,asubuhi ameandikiwa dawa za dripu ikabidi aende kuzitafuta bahati mbaya pharmacy zikawa zimefungwa,akaona amtafutie angalau chai au chochote wakisubiri saa nne!Akakosa pia kwani wauza vyakula wote walikuwa wakisubiri muda wa usafi uishe. Bahati mbaya mgonjwa alifariki.Inaweza kuwa hata njaa ilimuua.
Tuko nyuma sana kwa tunavyotenda na kufikiri.Hatutumii mantiki kabisa.
 
Ni kero sehemu nyingine ni Mara mbili kwa mwezi.
Binafsi ningependekeza ukaguzi ufanyike watu wakiendelea na kazi zao,isipokuwa eneo lako likikutwa na uchafu ambao umeachwa uzagae na wakati unaendelea na shughuli ndipo ulipishwe faini.
Hii ya kufunga hadi pharmacy na huduma za chakula inaumiza watu sana.
Kuna mtu alikuwa na mgonjwa wametoka kijijini amefika Hosp.usiku,asubuhi ameandikiwa dawa za dripu ikabidi aende kuzitafuta bahati mbaya pharmacy zikawa zimefungwa,akaona amtafutie angalau chai au chochote wakisubiri saa nne!Akakosa pia kwani wauza vyakula wote walikuwa wakisubiri muda wa usafi uishe. Bahati mbaya mgonjwa alifariki.Inaweza kuwa hata njaa ilimuua.
Tuko nyuma sana kwa tunavyotenda na kufikiri.Hatutumii mantiki kabisa.
INNALILLAH WAINNAILLAH RAAJIUUN.
 
Watu wengi wanakereka na hili swala aisee ila pa kusemea ndo hakuna,,ila ni kero na maamuzi ya kijinga kbs yaliyowahi kutolewa na hao wanaoitwa viongozi
 
Ni kero sehemu nyingine ni Mara mbili kwa mwezi.
Binafsi ningependekeza ukaguzi ufanyike watu wakiendelea na kazi zao,isipokuwa eneo lako likikutwa na uchafu ambao umeachwa uzagae na wakati unaendelea na shughuli ndipo ulipishwe faini.
Hii ya kufunga hadi pharmacy na huduma za chakula inaumiza watu sana.
Kuna mtu alikuwa na mgonjwa wametoka kijijini amefika Hosp.usiku,asubuhi ameandikiwa dawa za dripu ikabidi aende kuzitafuta bahati mbaya pharmacy zikawa zimefungwa,akaona amtafutie angalau chai au chochote wakisubiri saa nne!Akakosa pia kwani wauza vyakula wote walikuwa wakisubiri muda wa usafi uishe. Bahati mbaya mgonjwa alifariki.Inaweza kuwa hata njaa ilimuua.
Tuko nyuma sana kwa tunavyotenda na kufikiri.Hatutumii mantiki kabisa.

Mkuu hats Mimi Leo kijana wangu nimeambiwa anaumwa sana kashikwa malaria ya ghafla so nikaambiwa nitume hela shuleni kwao afanyiwe utaratibu Wa kukodiwa usafiri awahishwe hospital nimeenda Kwa wakala Wa mpesa huku mtaani nimekuta kote kumefungwa nauliza naambiwa leo jmosi mpaka saa nne,bahati nzuri dreva wa school bas yao aliwahi kufika akawahishwa Kwa matibabu
 
Kwa kweli tumekua watu wa ajabu sana ,viongozi wote tumemuachia magufuli afikiri juu yetu

Kuna utaratibu wa ajabu Sana kuwa siku ya jumamosi utakuta maduka asubuhi yamefungwa mpaka saa nne eti sababu ni usafi na ukifungua unakamatwa faini 50000,

Kwanini serikali isiwaruhusu watu wafungue then waendelee kutoa huduma mtu anaweza kumpa kijana hela aendelee kufanya usafi eneo lake wakati yeye akiendelea na biashara,

Dodoma ndo imekua kero maduka yote yamefungwa na ajabu hakuna anaefanya usafi so watu wanasubiri tu mda ufike afungue , serikali nashauri iruhusu mtu aendelee kufanya biashara na wakati usafi ukiendelea kwanza mtatoa ajira ya vijana wengi maana kijana atapewa 3000 au zaid ya kufanya usafi huku tajiri akiendelea kufanya biashara kuliko kulazimisha kufunga duka na usafi haufanyiki,
Huo ni upumbavu kama upumbavu mwingine tu...alafu wale wagambo na mabwana zao wana viherehere kweli!
Kuna Jmosi moja niliwahi dukan nikiwa sijui kama ni mwisho wa mwezi...basi wakaja na haraka zao et nifunge mlango, nikawaambia hakuna biashara inayoendelea...
Wakatoka nje eti huu mfereji vipi, nikawauliza umefanyeje...hawakujibu wakanambia nirekebishe pale mbele nikawaambia sawa!

Wakaondoka pale wamemind sana, baadaye wakamtuma mgambo aje aniandikie faini...kaja anajiongelesha kwamba yeye katumwa tu nikamwambia fine andika tu, akaandika barua hata jina akuniadress mimi akamuandika mwenye fremu, j3 waliosema niende hata sikwenda nikawa nawasubiri kwa hamu waje kunikamata..mpaka leo sijawaona!
 
Back
Top Bottom