Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,797
- 1,567
ahh inaelekea joto sna humo mhh!
..Ni hatari mkuu. Kwa mtindo huo lazima utagundua kuna dosari kabla hata hujatoka ndani...Si bure hapo kuna jambo!!alisahau akavaa ya my wife wake tu. sidhani kama hatari
kwani zile VIP zilikuwagaje? mbona zilikuwaga hivyo tu, nakumbuka primary kuna mdada alikuwa anaivaa tukiwa class two i think,.
Eti wadau, ni fasheni ya kisasa au huyu mchezaji ni 'Pumziko'?
Au inaruhusiwa kuvaliana na 'My waifu wako"?
Da! Mkuu tusameheane, nimekuja kustukia baadae sana. Lakini mavi ya kale hayanuki mzee mwenzangu. hiyo post ni ya kitambo.
kazi kweli kweli. karibu mtavaa na bra
Eti wadau, ni fasheni ya kisasa au huyu mchezaji ni 'Pumziko'?
Au inaruhusiwa kuvaliana na 'My waifu wako"?