William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Wote wawili hawajui Demokrasia ndio maana wamezomewa, Sheria ya Demokrasia toka ilipozaliwa Greece ni kwamba ikibanwa huwa inatafuta njia ya kusema kubanwa kwake na huwa ina tabia ya kusema kwa kutumia njia nyingi sana ila tatizo ni kama walengwa wamesikia. Tatizo la Zuma ni lile lile la Chadema na Dr. Slaa, uwazi wa mahesabu ya matumizi ya chama, wote wamejibu kwa kukurupuka Zuma alimfukuza Malema na huku wenzetu wamemfukuza Zitto lakini wote wawili hakuna aliyegusa hoja za Malema na Zitto, ndio maana watazomewa mpaka watakapojifunza kusikiliza sauti ya Demokrasia iliyobanwa.
- Majuzii Katibu Mkuu wa CCM Kinana, katika ziara zake Mikoani aidha Mawaziri wamezomewa au kulaumiwa sana na wananchi mbele ya Kiongozi huyo mkuu wa chama, matokeo jana mawaziri wote wahusika wameitwa na Kamati Kuu ya CCM kujibu mashitaka yao na sababu za kuzomewa kwao, that is Democracy na ndio maana CCM itaendelea kutawala kwa muda mrefu sana kama kilivyo sasa Chama kikongwe cha siasa kwenye madaraka kwa mudaa mrefu kuliko vyote Afrika.
Habari Inaendelea kwenye gazeti la kesho na kila Jumapili la Jambo Leo Uchambuzi wangu.
Le Mutuz Big Shoow
- Majuzii Katibu Mkuu wa CCM Kinana, katika ziara zake Mikoani aidha Mawaziri wamezomewa au kulaumiwa sana na wananchi mbele ya Kiongozi huyo mkuu wa chama, matokeo jana mawaziri wote wahusika wameitwa na Kamati Kuu ya CCM kujibu mashitaka yao na sababu za kuzomewa kwao, that is Democracy na ndio maana CCM itaendelea kutawala kwa muda mrefu sana kama kilivyo sasa Chama kikongwe cha siasa kwenye madaraka kwa mudaa mrefu kuliko vyote Afrika.
Habari Inaendelea kwenye gazeti la kesho na kila Jumapili la Jambo Leo Uchambuzi wangu.
Le Mutuz Big Shoow