Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Likipitishwa greda mnapiga kelele!!..... bora watu watanue kivyao tu!
Poleni.
Kuna ajabu ghani mtoto kubeba mwenzie?
Aisee usje ambiwa mchochezi!
Itakuwa kwenye programu ya kuadhimisha miaka 150 ya uhuru wa tanganyika enzi hizo ikiitwa tanzaniaHuwezi kuamini kuwa hapo ni Dar! Kweli kuna wananchi wanaishi katika mazingira duni sana! Natumai Prof. Tibaijuka ataona mazingira hayo na wizara itafanya juhudi katika kuboresha makazi ya watu.