N. Korea kupimana nguvu kijeshi na Marekani

tatizo huelewi unachoongea na huna data,kwanza US haidaiwi na China trillion 18 wanazodaiwa ni less than i trillion and FYI hilo deni ni asset kwa US (go educate yourself uelewe why?),ni kweli walitumia lots of money kupigana Iraq & Afghanistan lakini guess what? Iraqs and Afghans ndio watalipa hilo deni sio US na watalipa ten times,waulize Japan,Germany,British etc maana 50 yrs later bado wanalipa na zile base za Okinawa na Germany hazitafungwa leo kwa ajiri hiyo,uliwahi kusikia war debts?...war is a big business na big part ya US Economy na hivyo vita technically wanavitaka sana hata leo maana vinakuza Economy yao

Atlist some people like u understand thngs cz many ni mashabiki with no facts no knowledge.
 
Hakuna asiyejua kuwa uchumi wa mmarekani unadorora na ule wa china unastawi kwa kasi ya mnyama Tiger!
Walitumia dollar Trilion moja huko Iraq,wakatumia dollar karibu bilioni 300 katika migogoro mingine kama ya Afghanistani na Pakistani!
Sasa badala ya kupambana kuurekenisha uchumi wake,anataka kwenda vitani na mkorea na kutumia gharama nyingine!!
Tukumbuke Marekani inadaiwa dollar TRILIONI 18 na China.
Yangu macho!!!

uyu bwana mdogo wa n.korea mi bado namwona weak,,he is just trying to prove something to his people and the world, angekua ni yle baba yake nngesema kweli apa marekani kazi anayo..
 
Fact-North Korea hana missiles za kufika US. Hazifiki hata Guam ambako missile defense system zimepelekwa juzi na Jaluo. Hizo ndio porojo zenu za mitaani. North Korea na Ahamedinajad ni mbwa koko wenye kubweka kutwa nzima makelele lakini hamna kitu. Kinachowazuia kurusha hizo missiles zao ni kitu gani? Si wajaribu na waone kitakachowakuta!Bora hata Osama alikuwa na guts za kufanyiza kuliko mbwa koko hawa
wanachokifanya N. Korea ni kutishia nyau, ndio sababu wanahangaika na matamko! They have no guts to invade U.S
 
Watu wanaongea Kiushabili tu, Korea hawezi Kupigana na USA, Ni URUSI Pekee katika sayari hii mwenye siraha na Makombora yakuweza Kupenya kwenye Mitambo ya Ulinzi ya USA, URUSI wana makombora kama
russian_ss_18.jpg

The later version, the R-36M was produced under the GRAU designations 15A14 and 15A18 and was given the NATO reporting name SS-18 Satan. This missile was viewed by certain U.S. analysts as giving the Rusia first strike advantage over the U.S.,

Hilo ndo Kombora at least lenye kuweza kupenya kwenye mitambo ya Ulinzi ya USA, Tatizo watu hawajui Propaganda zilivyo
 
Australia is getting prepared to evacuate its 7000 civilians from south korea.
Other nations ordered its citizen to standby for evacuation in case things get worse are philpnes and Thailand which has its plane ready to evacuate.
Meanwhile DPRK just put its two medium range missile on launcher at its east coast ready for launching.
 
:nono:hata sadam walisema hivyo hivyo...aliishia kupigwa na kujificha shimoni..
 
Hakuna asiyejua kuwa uchumi wa mmarekani unadorora na ule wa china unastawi kwa kasi ya mnyama Tiger!
Walitumia dollar Trilion moja huko Iraq,wakatumia dollar karibu bilioni 300 katika migogoro mingine kama ya Afghanistani na Pakistani!
Sasa badala ya kupambana kuurekenisha uchumi wake,anataka kwenda vitani na mkorea na kutumia gharama nyingine!!
Tukumbuke Marekani inadaiwa dollar TRILIONI 18 na China.
Yangu macho!!!
Think out of the box dude..

Hii mijamaa vita kwao ni opportunity ya kutengeneza mihela hamna cha maana kasome vizuri habari za GERMANY na BRITAIN wanavyojuta ni kwa nini walijiingiza katika vita alivyokuwa anashiriki mmarekani...

Nikuulize tu swali simple kwa nini CHINA aliyekuwa anamsaport mkorea ameamua kumgeuka baada ya kuona kumsaport hakuna manufaa???

Kwa nini JAPAN baada ya atomic BOMBS kudondoshwa kwenye ardhi yake ilijuta "kwa nini imejiingiza katika vita na AMERICA kichwa kichwa bila kufanya analysis na kujua nini kiko nyuma na pazia??"

Kwa nini CHINA leo nayo inajiandaa kwenda vitani na JAPAN???

You are the great thinker nadhani hayo maswali yatakutoa ukungu katika fikra zako....
 
mmmh...ila huu upepo unanvyovuma tuombe Mungu tu aepushie mbali maana vikiibuka vita hapa na hawa ndugu zetu walivyozoea kwenda kuomba misaada huko si ndo watatufilisi na sisi kabisa...
 
North korea wanaongozwa na kile kitoto ni kijinga sana....hawana uwezo wa kupigana na marekani wanapayuka tu
 
tumesahau kwamba wako kwenye recovery ya nguvu kwa kuiba mafuta ya Iraq na Libya
 
North korea wanaongozwa na kile kitoto ni kijinga sana....hawana uwezo wa kupigana na marekani wanapayuka tu

north korea ni taifa lenye utaimlamlo kiujumla

hawawezi chochote, watapigwa na south korea in less than a month, labda warushe hizo nyuklia
 
tatizo huelewi unachoongea na huna data,kwanza US haidaiwi na China trillion 18 wanazodaiwa ni less than i trillion and FYI hilo deni ni asset kwa US (go educate yourself uelewe why?),ni kweli walitumia lots of money kupigana Iraq & Afghanistan lakini guess what? Iraqs and Afghans ndio watalipa hilo deni sio US na watalipa ten times,waulize Japan,Germany,British etc maana 50 yrs later bado wanalipa na zile base za Okinawa na Germany hazitafungwa leo kwa ajiri hiyo,uliwahi kusikia war debts?...war is a big business na big part ya US Economy na hivyo vita technically wanavitaka sana hata leo maana vinakuza Economy yao
Mkuu Koba hebu mwagika kidogo hapo hiyo idea ya Iraqs and Afghans watakavyokuwa wanalipa,wanalipa kwa mtindo gani?
 
Last edited by a moderator:
north korea ni taifa lenye utaimlamlo kiujumla

hawawezi chochote, watapigwa na south korea in less than a month, labda warushe hizo nyuklia

Hahaaaa ..utapiamlo ule mkali vibaya sana..yaani hawa watanyukwa mpaka watashangaa
 
Hawa wamemkuta obama mpole na yuko diplomatic angekuwa bush yaani wangekuwa wanagalagala muda huu
 
Kwa wale mnaoshabikia Marekani tu bila kuangalia facts inabildi muelewe kuwa:

1. Marekani hawakuweza kuivamia DPRK hata kabla ya kuwa na silaha za nuklia. DPRK tangu zamani wametenga maelfu ya roketi kuelekea Seoul, mji kuu wa S.Korea ambao haupo mbali sana toka mpakani. Ni jambo la sekunde tu Seoul inakuwa ashes.

2. Marekani haina intelejensia sahihi kususu DPRK, ni taifa lenye usiri mkubwa. Ni vigumu sana kupigana na adui usiyemjua
kisawa sawa.
http://security.blogs.cnn.com/2013/04/04/north-korea-difficult-intel-target/?hpt=hp_t1
3. DPRK tayari wa silaha za nuklia, vita yoyote kati ya U.S na DPRK itajumuisha S. Korea na Japan, nchi hizi zitakuwa
hatarini kupigwa mabomu ya nuklia.

4. DPRk ni nchi ambayo ina umoja kama taifa, ina jeshi kubwa la nne duniani, jeshi lenye nidhamu na vifaa vingi vya
kivita. US itakuwa inapambana na jeshi lenye umoja na nguvu, si kama wakati wa vita ya Iraq, ambapo kulikuwa na
mgawanyiko(suni/shia) na migogoro ya ndani. Si kama Afghanistan ambapo Taliban walikuwa dhaifu.

5. DPRK ni buffer zone (sijui tafsiri ya kiswahili) ya China dhidi ya US, US wapo S. Korea, Japan, Philipine na Australia.
Iwapo US atashinda vita na kuinyonya DPRK kuwa moja na S. Korea, US watakuwa wamesogea mpakani kabisa mwa
China, jambo ambalo China hawatalipenda. Mpaka sasa US hajui kuwa China wataingilia kati au la.

6. Kama itatokea vita basi vifo vingi vitatokea, eneo zima la Mashariki ya mbali linaweza kuingia katika mgogoro wa kivita,
China inaweza kutumia mwanya huo kuvikomboa visiwa vyake kutoka Japan na ikaingia Taiwan kwa nguvu, wakati US
akiwa bize na DPRK. Too much to lose for US and it's allies.
 
Hakuna asiyejua kuwa uchumi wa mmarekani unadorora na ule wa china unastawi kwa kasi ya mnyama Tiger!
Walitumia dollar Trilion moja huko Iraq,wakatumia dollar karibu bilioni 300 katika migogoro mingine kama ya Afghanistani na Pakistani!
Sasa badala ya kupambana kuurekenisha uchumi wake,anataka kwenda vitani na mkorea na kutumia gharama nyingine!!
Tukumbuke Marekani inadaiwa dollar TRILIONI 18 na China.
Yangu macho!!!

Hizi si data za kweli
 
Kwa wale mnaoshabikia Marekani tu bila kuangalia facts inabildi muelewe kuwa:

1. Marekani hawakuweza kuivamia DPRK hata kabla ya kuwa na silaha za nuklia. DPRK tangu zamani wametenga maelfu ya roketi kuelekea Selou, mji kuu wa S.Korea ambao haupo mbali sana toka mpakani. Ni jambo la sekunde tu Selou inakuwa ashes.

2. Marekani haina intelejensia sahihi kususu DPRK, ni taifa lenye usiri mkubwa. Ni vigumu sana kupigana na adui usiyemjua
kisawa sawa.
North Korea difficult intel target – CNN Security Clearance - CNN.com Blogs
3. DPRK tayari wa silaha za nuklia, vita yoyote kati ya U.S na DPRK itajumuisha S. Korea na Japan, nchi hizi zitakuwa
hatarini kupigwa mabomu ya nuklia.

4. DPRk ni nchi ambayo ina umoja kama taifa, ina jeshi kubwa la nne duniani, jeshi lenye nidhamu na vifaa vingi vya
kivita. US itakuwa inapambana na jeshi lenye umoja na nguvu, si kama wakati wa vita ya Iraq, ambapo kulikuwa na
mgawanyiko(suni/shia) na migogoro ya ndani. Si kama Afghanistan ambapo Taliban walikuwa dhaifu.

5. DPRK ni buffer zone (sijui tafsiri ya kiswahili) ya China dhidi ya US, US wapo S. Korea, Japan, Philipine na Australia.
Iwapo US atashinda vita na kuinyonya DPRK kuwa moja na S. Korea, US watakuwa wamesogea mpakani kabisa mwa
China, jambo ambalo China hawatalipenda. Mpaka sasa US hajui kuwa China wataingilia kati au la.

6. Kama itatokea vita basi vifo vingi vitatokea, eneo zima la Mashariki ya mbali linaweza kuingia katika mgogoro wa kivita,
China inaweza kutumia mwanya huo kuvikomboa visiwa vyake kutoka Japan na ikaingia Taiwan kwa nguvu, wakati US
akiwa bize na DPRK. Too much to lose for US and it allies.

Sentensi ya mwisho umemaliza mkuu, hakuna ushabiki kama wa jamaa mmoja hapa anaporomoka matusi tu! Kwa hali yakawaida mmarekani angesharusha ngumi kitambo, wala hana haja ya kusubiri DPRK waanze, DPRK yeye alishasema yuko tayari kwa vita, na chokochoko yoyote ile itamfanya aanze mashambulizi...Marekani is hesistant....!!!! Ni kweli uwezo wa kumpiga DPRK mmarekani anao akiwa na allies wake na si peke yake, peke yake ASAHAU, sisi tunawajua allies wa DPRK Na ndiyo hilo linawatia jambajamba US!! Haya sasa, dogo keshamtukana baunsa, naona baunsa anasitasta
 
North Korea: Kim Jong-un steps up security detail..

Kim Jong-un, the North Korean leader, has stepped up his personal security detail due to fears of a military coup or uprising, according to intelligence sources in South Korea.
N_korea_2527834b.jpg


A fleet of around 100 armoured vehicles has been deployed close to Mr Kim's residence in Pyongyang, at his summer home and other locations where he is a frequent visitor, the Chosun Ilbo newspaper reported, quoting intelligence officials and diplomatic sources.

Venues for official events are heavily policed by troops armed with automatic rifles and hand grenades, while Mr Kim's personal plainclothes bodyguards have begun carrying long bags that apparently contain heavier weapons.

Mr Kim's itinerary is being classified as top secret and mobile phone signals are being jammed at public events that the North Korean leader attends, apparently out of concern that they could be used to detonate a bomb.

"Kim Jong-un desperately needs to bolster his personal security detail due to mounting opposition to his efforts to rein in the military," a diplomatic source told the paper.

Source: North Korea: Kim Jong-un steps up security detail - Telegraph


Naona jamaa anazidi kujiweka sawa ki saikolojia..

 
Back
Top Bottom