Kwa msaada wenu nilifanikiwa ku-unlock Airtel Modem ZTE MF190. Ikawa inafungua line za mitandao mikubwa hapa Dar, mfano, voda,tigo na zantel. Nilitumia DC-Unlocker Software. Lakini sasa inagoma kuzisoma line za Voda na Zantel. Nikadhani ime-lock tena.Nilipojaribu ku-run dc-unlocker ikaniambia moden unlocked. MISAIDIENI, nitatue vipi tatizo hili? Vodacom kwa sasa wana kapromo ka aina yake.