jaxonetee
Member
- Aug 1, 2018
- 42
- 50
Naomba kuuliza swali....msichana wako anapata bleed trh 25 June then unasex nae trh 5,6 na 7 July. Anasafiri trh 7 mchana kwenda mkoani anarudi trh 18 anapima anakutwa kapata ujauzito...baadae mnagundua ni mtoto wa kiume
Sasa je? Kuna uwezekano mlivosex nae trh 5,6 na 7 mimba ikawa ni yako?
Na mayayi ya mtoto wa kiume huweza dumu kwa mama kwa muda gani?
Naombeni wataalam tu ndo wanijibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa je? Kuna uwezekano mlivosex nae trh 5,6 na 7 mimba ikawa ni yako?
Na mayayi ya mtoto wa kiume huweza dumu kwa mama kwa muda gani?
Naombeni wataalam tu ndo wanijibu.
Sent using Jamii Forums mobile app