Hii mada imeshajadiliwa humu mpaka watu wamechoka....fuatilia thread za JF Doctor zenye titles zifuatazo (sorry sina utaalam wa kuweka links za thread hizo hapa): 1. Siku zipi nzuri za kukamata mimba 2. Kupata mimba 3. Inawezekana kweli?
Kwenye hizo thread utakuta kila unalotaka kujua kuhusu mzunguko wa mwanamke.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.