Mzunguko wa fedha ulichangiwa kwa kiasi kikubwa na Escrow, EPA, Richmond nk

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Igwe wanaJF

Naam, katika kipindi cha miaka 10 iliyopita ilikuwa ni desturi kila baada ya miaka miwili kuingia kwenye mzunguko wa fedha malipo ya mamia ya mabilioni ambayo kimsingi malipo yalipitia kwenye mabenki ya kibiashara na baadaye kufuatiwa na mgao kwa msururu wa watu bila kujali itikadi, rangi, dini nk na chanzo kingine ilikuwa miradi hewa katika halmashauri na idara mbalimbali za serikali.

Wanufaika wakuu wa fedha hizo walikuwa ni:
  1. Wafanyabiashara
  2. Wanasiasa
  3. Vimada
  4. Wapambe
  5. Madalali wa viwanja, nyumba nk
  6. Wanahabari
Kwa hakika mabilioni haya yalikuwa chachu bandia ya mzumguko wa fedha ambao uliwanufaisha wengi. Je kadhia hizo ziachwe bila udhibiti ili kurudisha mzunguko 'mkubwa'wa fedha?
 
Sawa, tuone basi uwezo wa JPM kujenga uchumi wenye stable money circulation pasipo na hayo mambo!! Akishindwa kufanya hayo, and in fact ni kama ameshindwa, basi JPM anadhihirisha yeye is just an average leader!!!
 
Igwe wanaJF

Naam, katika kipindi cha miaka 10 iliyopita ilikuwa ni desturi kila baada ya miaka miwili kuingia kwenye mzunguko wa fedha malipo ya mamia ya mabilioni ambayo kimsingi malipo yalipitia kwenye mabenki ya kibiashara na baadaye kufuatiwa na mgao kwa msururu wa watu bila kujali itikadi, rangi, dini nk na chanzo kingine ilikuwa miradi hewa katika halmashauri na idara mbalimbali za serikali.

Wanufaika wakuu wa fedha hizo walikuwa ni:
  1. Wafanyabiashara
  2. Wanasiasa
  3. Vimada
  4. Wapambe
  5. Madalali wa viwanja, nyumba nk
  6. Wanahabari
Kwa hakika mabilioni haya yalikuwa chachu bandia ya mzumguko wa fedha ambao uliwanufaisha wengi. Je kadhia hizo ziachwe bila udhibiti ili kurudisha mzunguko 'mkubwa'wa fedha?
MTU kama hajui tu wakati anaingia bei ya sukari ilikuwa kiasi gani anaweza kujenga uchumi?
 
Sukari kabla ya mwaka 2016 ilikuwa elfu 5000 kwa kilo.....
Jamaa muongo huyu sijawahi ona .......

Anafanya hata akizungumza ukweli watu wanaona kama anadanganya
 
nchi kama marekani viongozi wao wanaweka mandhari nzuri kwa biashara ili nchi na wananchi wafaidike
nchi yetu mshamba fulani anasema anataka watu waishi kama mashetan
 
Hakuna nchi zenye maisha ghali na ya juu kama kenya na rwanda
Lkn uchumi wao upo juu
Huyu tutamkubali tu huko mbeleni
Kwa sasa tumeanza kujielewa na heshima imerudi,,mbeleni tutayaona tu matunda
Tuwe wavumilivu kwani miaka mi8 iliobaki sio mbaaaaaali saana kiviiiiiile
 
Lowassa ndo alikuwa msambazaji mkubwa wa fedha chafu Tanzania. Ndo maana alipokosa urais wengi tulifurahi.

Aligawa kwa kadri alivyojaliwa kwa watu binafsi, viongozi wa dini na wanasiasa. Alinunua vyama vya kisiasa hata vya kiraia. Kwa mradi ule kushindwa ilikuwa pigo sana kwake.
Igwe wanaJF

Naam, katika kipindi cha miaka 10 iliyopita ilikuwa ni desturi kila baada ya miaka miwili kuingia kwenye mzunguko wa fedha malipo ya mamia ya mabilioni ambayo kimsingi malipo yalipitia kwenye mabenki ya kibiashara na baadaye kufuatiwa na mgao kwa msururu wa watu bila kujali itikadi, rangi, dini nk na chanzo kingine ilikuwa miradi hewa katika halmashauri na idara mbalimbali za serikali.

Wanufaika wakuu wa fedha hizo walikuwa ni:
  1. Wafanyabiashara
  2. Wanasiasa
  3. Vimada
  4. Wapambe
  5. Madalali wa viwanja, nyumba nk
  6. Wanahabari
Kwa hakika mabilioni haya yalikuwa chachu bandia ya mzumguko wa fedha ambao uliwanufaisha wengi. Je kadhia hizo ziachwe bila udhibiti ili kurudisha mzunguko 'mkubwa'wa fedha?
 
Lowassa ndo alikuwa msambazaji mkubwa wa fedha chafu Tanzania. Ndo maana alipokosa urais wengi tulifurahi.

Aligawa kwa kadri alivyojaliwa kwa watu binafsi, viongozi wa dini na wanasiasa. Alinunua vyama vya kisiasa hata vya kiraia. Kwa mradi ule kushindwa ilikuwa pigo sana kwake.
Naam, tabia ya mafisadi ni kugawa pesa hovyo hivyo kuongeza mzunguko feki.
 
Sawa, tuone basi uwezo wa JPM kujenga uchumi wenye stable money circulation pasipo na hayo mambo!! Akishindwa kufanya hayo, and in fact ni kama ameshindwa, basi JPM anadhihirisha yeye is just an average leader!!!
Huhitaji kusubiri, unayaona mwenyewe.
 
Naomba tujadiliane!

Rais anadai haongezi mshahara kwa watumishi wa umma (ng'ombe) ila anataka uzalishaji uongezeke (maziwa/kodi).

Hivi huyo mtumishi atatoa wapi tija ya uzalishaji na nguvu ya kujibidiisha ili azalishe zaidi?

Si ndio kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake? Rushwa itazidi kushamiri kwa sababu watumishi hawaridhiki na kipato au wataacha kazi au kufanya kwa mda mfupi wakatafute kipato cha ziada.

Huyo mfanyakazi usiyemlisha vizuri atazalishaje?
Mishahara ya watumishi wa umma,ni kodi zetu,serikali haifanyi biashara,haina faida,kama mapato kupitia kodi,wanazotozwa sekta binafsi,haziongezeki,kwa sababu makampuni yameyumba,hiyo nyongeza mnataka itoke wapi?pato LA nchi likiongezeka,kutoka vyanzo mbalimbali,hata kila mtumishi akilipwa 7M,mi sina tatizo,sasa kama hakuna kinachoongezeka,mnataka nyongeza itoke wapi?mnataka tuwe kama Spain?serikali sio kiwanda cha soda,kwamba mnamwambia muajiri,kwa vile mauzo ya soda yameongezeka,basi na sisi tuongezee mshahara,vumilieni kama wale wa sekta binafsi,ambako ajira huwa inasitishwa ghafla bila malipo,hatukopesheki kama nyinyi,
Wacha tuisome wote namba,
Igwe wanaJF

Naam, katika kipindi cha miaka 10 iliyopita ilikuwa ni desturi kila baada ya miaka miwili kuingia kwenye mzunguko wa fedha malipo ya mamia ya mabilioni ambayo kimsingi malipo yalipitia kwenye mabenki ya kibiashara na baadaye kufuatiwa na mgao kwa msururu wa watu bila kujali itikadi, rangi, dini nk na chanzo kingine ilikuwa miradi hewa katika halmashauri na idara mbalimbali za serikali.

Wanufaika wakuu wa fedha hizo walikuwa ni:
  1. Wafanyabiashara
  2. Wanasiasa
  3. Vimada
  4. Wapambe
  5. Madalali wa viwanja, nyumba nk
  6. Wanahabari
Kwa hakika mabilioni haya yalikuwa chachu bandia ya mzumguko wa fedha ambao uliwanufaisha wengi. Je kadhia hizo ziachwe bila udhibiti ili kurudisha mzunguko 'mkubwa'wa fedha?
 
Igwe wanaJF

Naam, katika kipindi cha miaka 10 iliyopita ilikuwa ni desturi kila baada ya miaka miwili kuingia kwenye mzunguko wa fedha malipo ya mamia ya mabilioni ambayo kimsingi malipo yalipitia kwenye mabenki ya kibiashara na baadaye kufuatiwa na mgao kwa msururu wa watu bila kujali itikadi, rangi, dini nk na chanzo kingine ilikuwa miradi hewa katika halmashauri na idara mbalimbali za serikali.

Wanufaika wakuu wa fedha hizo walikuwa ni:
  1. Wafanyabiashara
  2. Wanasiasa
  3. Vimada
  4. Wapambe
  5. Madalali wa viwanja, nyumba nk
  6. Wanahabari
Kwa hakika mabilioni haya yalikuwa chachu bandia ya mzumguko wa fedha ambao uliwanufaisha wengi. Je kadhia hizo ziachwe bila udhibiti ili kurudisha mzunguko 'mkubwa'wa fedha?
Poor brain power,unataka kutuaminisha kwamba,mzunguko wa fedha ukiwa mzuri,kuna ufisadi,TZ haikuanza miaka 10 iliyopita,tulishawahi kuwa na uchumi,na mzunguko mzuri wa fedha,
Kinachotokea sasa HV,ni poor management ya uchumi,na Sera mbovu,acheni visingizio,
 
Back
Top Bottom