Utakuwa umefanya la maana kwani wengine tumesoma shule za TAPA aka WAZAZI na ukichanganya sina hela ndio kabisa hakipandi (angalau ningekuwa na glass ya wine)Ukweli mtupu Waswahili tubadirike.
..............Nitarudi baadae kuendeleza hapo alipoishia mzungu ........lakini kwa Kiswahili.
Mwenzangu hakuna aliyepeleka card ya mchango kwa foreigner akabaki salama. tutajikuna tunapoweza ikiwezekana mama mkwe na mawifi watapika ugali uwe keki ya harusiSky Eclat kadi zetu za sendoff yako na harusi Yetu tusipeleke ubalozini, tusije tukarushwa mtandaoni kwa kosa LA UMATONYA
Hakuna atakayepikiwa ugali na mawifi na mama mkewe badala ya keki akabaki salama. Mijitu yenyewe ina gubuuuuuuuMwenzangu hakuna aliyepeleka card ya mchango kwa foreigner akabaki salama. tutajikuna tunapoweza ikiwezekana mama mkwe na mawifi watapika ugali uwe keki ya harusi
Inauma sana! Kuna jamaa eti amejenga nyumba ya wastani na ni nzuri sasa anataka kuhamia na amePrint card za mchango wa kufanya sherehe ya kuhamia!
Kimombo chako bado kibichi ndugu! Yai lako viza hill! "he didn't knew that " ndiyo kitu gani?A closed mouth gathers no foot, probably he didn't knew that.
Kichambo hicho si kidogo, inabidi watu wachukulie ni jambo jema tu hakuna lingine
Eeeeeeeeh
Kashusha ukweliiiii... hiyo ya pre-school nayo
....he didn't KNOW that.A closed mouth gathers no foot, probably he didn't knew that.
Kichambo hicho si kidogo, inabidi watu wachukulie ni jambo jema tu hakuna lingine
Eeeeeeeeh
Kashusha ukweliiiii... hiyo ya pre-school nayo
....to pulse for a photo....