umeelewa wewe mkoromijay?Kichambo hicho si kidogo, inabidi watu wachukulie ni jambo jema tu hakuna lingine
Eeeeeeeeh
Kashusha ukweliiiii... hiyo ya pre-school nayo
Huyo itakuwa ni wa Western Africa. Ilo neno "this is too much, please stop" linafanana na English yaoHuyu ni mzungu kweli au mtanzania aliyekaa nje ya nchi au wa hapa hapa ndani ameamua kutapika nyongo kwa lugha ya malkia ili hasijulikane?
Nahisi hivyo hivyo, sio mzungu wala nini, ni mTz mwenzetu huyu.Huyu ni mzungu kweli au mtanzania aliyekaa nje ya nchi au wa hapa hapa ndani ameamua kutapika nyongo kwa lugha ya malkia ili hasijulikane?
Ndiomaan hua sifungui threads za hivi, maana naona heshima inashuka kabisaaaaohoo kwani najua sasa, naigilizia comment za wadau tu na mimi naungaunga
Lugha imepanda ndege na meli hii
Talking about direct translation....what the hell is 'being contributed...'to be contributed....?Truth hurts... All are true... People are taking advantage and misusing the privilege of being contributed in events...
Why on earth would you want to be contributed for your son/daughter kindergarten graduation party? Doesn't make sense...
Why on earth would you give a wedding contribution card to people who have never heard about the couples... Its annoying...
Ceremony contributions are not prohibited but at least send or give people to contribute for a reason...
Don't just seat at the wedding committee and agreeing getting cards, hoping people to contribute because only you know them...
If its you getting married or marrying or your daughter/son its fine.. But not to people i know nothing about...
Cc: mahondaw
Hahaha comrade..tunaogopa hata kucomment kwa kizungu mda mwingineNdiomaan hua sifungui threads za hivi, maana naona heshima inashuka kabisaaaa
A closed mouth gathers no foot, probably he didn't knew that.Talking about direct translation....what the hell is 'being contributed...'to be contributed....?
Hahahaha nimetoka kapa hapa najuta sijuu Kwa nin nilikimbia shuleNdiomaan hua sifungui threads za hivi, maana naona heshima inashuka kabisaaaa
kumbe wewe umemuelewa??Haya nayasema kila siku, huwezi kujiita una mke wakati gharama za kuoa tumekuchangia. Mimi hata mahari mzee wangu hajachanga na ikifika kufunga ndoa kanisani ( maana serikalini tayari) nitafanya tafrija ndogo kwa pesa zangu. Sitaki mke wangu awe wa watu wengi ,michango mpaka tunakimbiana mitaani. Huna uwezo achana na mambo ya gharama.
Ohoooo......Hahahaha nimetoka kapa hapa najuta sijuu Kwa nin nilikimbia shule
Nimeambulia pale aliposema embassy sijui ndo mambo ya sigara? na ile wedding sijui ndo kamaanisha weed? kizungu jaman mhh!!ntarudi
Oooh hii lugha ni shida kwanguOhoooo......
Kumbe tupo wengi.....
Inauma sana! Kuna jamaa eti amejenga nyumba ya wastani na ni nzuri sasa anataka kuhamia na amePrint card za mchango wa kufanya sherehe ya kuhamia!