Ohooo.....Ilikuja na ndege. Mimi pia huwa ni mgeni maeneo hayo
Comrade......Kumbe na wazungu nao wana MAPOVU
Amigo......Mzungu amenena maneno mazito yenye ukweli.
Eti siku hizi hadi birthday party wanapitisha kadi za michango
Watanzania wanaendekeza ujinga-ujinga, unakuta nafanya kazi ofisi moja na mtu, na huwa tunatazamana tu kama makondoo hatusalimiani full mikausho alafu siku send off yake ikikaribia ndiyo anakusalimia siku ya kwanza ukiitikia tu kesho yake anakuletea kadi ya mchango wa send off yake.
Watanzania tubadilike tuvae kofia zinazotutosha.
Sio mzungu huyo. Atakuwa Mkenya fulani.Huyu ni mzungu kweli au mtanzania aliyekaa nje ya nchi au wa hapa hapa ndani ameamua kutapika nyongo kwa lugha ya malkia ili hasijulikane?
Huyo mwenzangu na mimi tu. What is country' men ? I'm sure he meant countrymenWasiione hii comment sio povu hilo watakalomwaga hapa
Mbona nanyie hamchangii kwa lugha ya bepari......
Maana hapa ndio kwanza mnazidi kutu changanya tu
ohoo kwani najua sasa, naigilizia comment za wadau tu na mimi naungaungaComrade......
Ebu nitafunie nami nielewe alichisema huyo mzungu aiseeee....