Ndio, historia inaonyesha bara la Afrika lina "mchango mkubwa" katika maendeleo ya Bara la Ulaya na Bara la Marekani ya Kaskazini kwa karne kadhaa sasa.Waafrika matatizo tunayatafta wenyewe. Tunasshindwa kutengeneza nchi zetu tunakimbilia za wazungu, kwani tuliwasaidia kutengeneza nchi zao?
Waafrika tumekuwa kama Vimbulu kama vile hatuna makaziSawasawa kabisa, tutengeneze nchi zetu ziwe zaidi ya zao kusudi nao wakija huku tuwambie hivyo hivyo.
Tatizo letu tunajua kutamba tu kuwa bara letu ni tajiri lkn tumeshindwa kufanya maisha yetu yawe bora na matokeo yake ndio hayo ya kila moja kutaka kuzamia Ulaya. This is very silly indeed.
Hizo hadithi ama historia zimeshapitwa na wakati. Kama baba yako alisaidia mtu halafu akaja kua tajiri haikupi wewe uhalali wa kwenda kudowea au kung'ang'ania vitu vyake eti kisa baba yako alimsaidia. Hayo yameshapitwa na wakati.Ndio, historia inaonyesha bara la Afrika lina "mchango mkubwa" katika maendeleo ya Bara la Ulaya na Bara la Marekani ya Kaskazini kwa karne kadhaa sasa.
Tatizo la Waafrika wengi hawafahamu kwamba vita kubwa sana inaendelea kati ya mtu mweusi na mweupe. Haitaisha leo wala kesho. Cha kushangaza makuwadi kama toto Tundu Lisu na vibaraka wao wanaangalia matumbo yao tu.Wazungu wengi wana mawazo kama ya huyu sema tu hawayasemi live.
MuongoTatizo la Waafrika wengi hawafahamu kwamba vita kubwa sana inaendelea kati ya mtu mweusi na mweupe. Haitaisha leo wala kesho. Cha kushangaza makuwadi kama toto Tundu Lisu na vibaraka wao wanaangalia matumbo yao tu.
Kuitengeneza nchi ni maendeleo ya vitu sio watuWaafrika matatizo tunayatafta wenyewe. Tunasshindwa kutengeneza nchi zetu tunakimbilia za wazungu, kwani tuliwasaidia kutengeneza nchi zao?
Tokea ukoloni umeondoka Afrika ni muda mrefu ambao kama tungekuwa serious tungekuwa tumeshaendelea sana, tatizo la Waafrika ni ubinafsi, ukabila, chuki, fitina, wivu na roho mbaya wenyewe kwa wenyewe.Ndio, historia inaonyesha bara la Afrika lina "mchango mkubwa" katika maendeleo ya Bara la Ulaya na Bara la Marekani ya Kaskazini kwa karne kadhaa sasa.
Sio kweli ni uongo uliopitiliza afrika tatizo in siasa ambazo ndio zenye kujenga mhimili imara wa uchumi, sababu ya upuuzi wa kisiasa ndio maana tuna taasisi mbovu nyingi mno ambazo hazina misingi imara ya kuchochea maendeleo imara, imagine mataifa mengi ya kiafrika yana Uhuru ulio balehe vya kutosha lakini bado misingi ya kisiasa ni mibovu mno ndio maana rushwa imetamalaki, haki hakuna,uonevu,chuki,hofu,ujivuni na ukandamizaji umejaa, kwa hali hii mpaka mwisho wa dunia "we shall be inferior forever" pasipo na haki maendeleo hakuna mkuu.Ndio, historia inaonyesha bara la Afrika lina "mchango mkubwa" katika maendeleo ya Bara la Ulaya na Bara la Marekani ya Kaskazini kwa karne kadhaa sasa.
Ishu ni hao hao wakoloni bado wanaikoloni Africa, wewe onesha kujitutumua uone watakachofanya, ref, Libya,Tokea ukoloni umeondoka Afrika ni muda mrefu ambao kama tungekuwa serious tungekuwa tumeshaendelea sana, tatizo la Waafrika ni ubinafsi, ukabila, chuki, fitina, wivu na roho mbaya wenyewe kwa wenyewe.
Kwani huyu lisu yeye ndio anasaini mikataba ya mikopo au ya uwekezaji, tuache kujitoa akili tena acha upuuzi, afrika tatizo mifumo mibovu, sisi watu weusi sijui tunakwama wapi, matatizo yetu tunawapa wenye mrengo mbadala, ebu kuwa serious mkuu, hili taifa lina miaka 50+ sasa ya Uhuru, hao wenye mrengo mbadala wana impact gani so far?!Tatizo la Waafrika wengi hawafahamu kwamba vita kubwa sana inaendelea kati ya mtu mweusi na mweupe. Haitaisha leo wala kesho. Cha kushangaza makuwadi kama toto Tundu Lisu na vibaraka wao wanaangalia matumbo yao tu.
Wanakimbia njaa mkuu, afrika chakula bado changamoto sana.The British should return what they stole from Africa first otherwise Africans should go there and take as much as they can
Hands up bro, you're right, wala tusiende mbali wewe anagalia tu mfumo wa nchi zetu, nepotism kila mahali, sio kwa ajira au tenda za biashara,tuna mengi machafu tena machafu hasa na ukithubutu gusa maslahi yao wapo tayari kukumaliza, waafrika tunalaumu bure wazungu.Tokea ukoloni umeondoka Afrika ni muda mrefu ambao kama tungekuwa serious tungekuwa tumeshaendelea sana, tatizo la Waafrika ni ubinafsi, ukabila, chuki, fitina, wivu na roho mbaya wenyewe kwa wenyewe.
Kwanza naomba tukubaliane kitu kimoja: Afrika ina mchango mkubwa sana katika maendeleo ya Bara la Ulaya. Let's set the record straight. Kwa mfano, leo hii ukichukulia utajiri wa Ubelgiji, kwa asilimia kubwa umejengwa na Congo. Kwa bahati mbaya sina muda wa kuingia kwenye hili, ila kuna mengi yameshaandikwa.Hizo hadithi ama historia zimeshapitwa na wakati. Kama baba yako alisaidia mtu halafu akaja kua tajiri haikupi wewe uhalali wa kwenda kudowea au kung'ang'ania vitu vyake eti kisa baba yako alimsaidia. Hayo yameshapitwa na wakati.
Waafrika tunashindwa nini leo kutengeneza mataifa yetu na kukimbilia mataifa ya wengine, kipindi wanayajenga tulikuwepo? Kama tunataka maisha mazuri na mazingira mazuri ya kuishi tuyatengeneze hapa kwetu.