Mzungu ajikuta katika mtaro wa maji machafu baada ya kupata ajali ya pikipiki.

Kibo10

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
11,277
8,836
Raia mmoja wa kigeni amejikuta katika mtaro wa maji machafu yaliyochanganywa kinyesi baada ya kipata ajali ya pikipiki maarufu kama boda boda iliyogongwa na gari ambalo lilitoweka mara baada ya tukio huku akikosa msaada kufuatia harufu mbaya aliyokuwa nayo.


Raia huyo ambaye hakuweza kupata msaada wa huduma ya kwanza kwa wasamalia wema kama ilivyo ada ya Watanzania kabla ya kutangaza donge nono kwa atakayemuosha kumwondolea tope hilo lililochanganyika na kinyesi ili aweze kuelekea kupata huduma ya tiba.

Baadhi ya mashuhuda wa ajali hiyo pamoja kulaumu kukimbia kwa dereva aliwagonga walieleza tabia hiyo kuchagizwa na tabia ya waendesha pikipiki kuwa wamekuwa chanzo cha madereva kutoweka mara baada ya kuwagonga kutokana na tabia yao ya kujichukulia sheria mkononi bara wanapopata ajali kwa inayhusisha magari na wengine kutumia fulsa hiyo kuiba vitu kwenye magari.ITV

Lazima kaonja kinyesi huyu dada

 
Last edited by a moderator:
bado tunawaabudu wazungu?
ingekuwa ni mwafrika kaanguka kwao wala haitangazwi
kwanini tunawapa coverage hawa watu???
 
Kwa jinsi ninavyowajua wazungu hiyo lazima akaitengenezee filamu kama ile ya kula mapanki kule Mwanza.
TUJIANDAE KWA KASHFA
 
Raia mmoja wa kigeni amejikuta katika mtaro wa maji machafu yaliyochanganywa kinyesi baada ya kipata ajali ya pikipiki maarufu kama boda boda iliyogongwa na gari ambalo lilitoweka mara baada ya tukio huku akikosa msaada kufuatia harufu mbaya aliyokuwa nayo.


Raia huyo ambaye hakuweza kupata msaada wa huduma ya kwanza kwa wasamalia wema kama ilivyo ada ya Watanzania kabla ya kutangaza donge nono kwa atakayemuosha kumwondolea tope hilo lililochanganyika na kinyesi ili aweze kuelekea kupata huduma ya tiba.

Baadhi ya mashuhuda wa ajali hiyo pamoja kulaumu kukimbia kwa dereva aliwagonga walieleza tabia hiyo kuchagizwa na tabia ya waendesha pikipiki kuwa wamekuwa chanzo cha madereva kutoweka mara baada ya kuwagonga kutokana na tabia yao ya kujichukulia sheria mkononi bara wanapopata ajali kwa inayhusisha magari na wengine kutumia fulsa hiyo kuiba vitu kwenye magari.ITV

picha tafadhali
 
Lazima kaonja kinyesi huyu dada

 
Last edited by a moderator:
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom