Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,086
- 15,958
Naangalia hapa discovery channel,wanaonyesha controversies mbalimbal znazojitokeza katka tafit zao huko kwenye sayar nyingne..daah,ujue hii tabia ya mzungu kufanya utafit tokea enz hizo wanazunguka dunian had kuja kuona bara la africa na kuanza kulishugulikia effectively,nadhan tuwape pongez hawa jamaa kwa gunduz zao,.wanaishangaza sana dunia,..ngoz nyeus maskin ya mungu wakat wenzetu wanafanya haya sis sjui tunafanyaga nin.daah,.nadhan hawa jamaa wanakitu cha ziada zaid ya bnadam wa kawaida,au either sis ngoz nyeus ndo si viumbe vya kawaida,maana wanasema mwanadam ana uwezo mkubwa sana,katumia tu 10% ya ubongo,sasa naona wenzetu weupe wanajishugulisha kwel,sis weus vp jamen?