Ilishathibika kuwa walikuwa na degree feki . Je hili sio kosa kisheria? Mbona hazichukuliwi hatua na mamlaka zinazohusika?
Sheria ipi unayouzungumzia? hawa hawajafoji vyeti, ila wamesoma vyuo ambavyo havitambuliki. Kwa maana nyingine wamepoteza muda na rasilimali zao tu, ila hakuna kosa kisheria.