Jajejijoju
JF-Expert Member
- May 1, 2022
- 363
- 522
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama heading ilivyo hapo juu niende moja kwa moja kwenye hoja yangu.
Kwa mwaka wa masomo uliopo sasa (2021/22) nimesoma chuo kikuu cha mzumbe kwa kampasi ya Morogoro na Mbeya pekee walidahili wanafunzi elfu moja wa sheria kwa mwaka wa kwanza; na kwa vile wanatoa digrii ya sheria kwa miaka 3, ninakadiria kuwa kwa sasa watakuwa na angalau wanafunzi elfu 3 wa digrii ya sheria.
Hiki kitu kimenifanya nitafakari ubora wa elimu inayotolewa hapo. Je, kuna walimu wa kuwatosha hao wanafunzi wote?
Ufafanuzi ukipatikana toka kwa wadau wa MU itapendeza zaidi.
Kama heading ilivyo hapo juu niende moja kwa moja kwenye hoja yangu.
Kwa mwaka wa masomo uliopo sasa (2021/22) nimesoma chuo kikuu cha mzumbe kwa kampasi ya Morogoro na Mbeya pekee walidahili wanafunzi elfu moja wa sheria kwa mwaka wa kwanza; na kwa vile wanatoa digrii ya sheria kwa miaka 3, ninakadiria kuwa kwa sasa watakuwa na angalau wanafunzi elfu 3 wa digrii ya sheria.
Hiki kitu kimenifanya nitafakari ubora wa elimu inayotolewa hapo. Je, kuna walimu wa kuwatosha hao wanafunzi wote?
Ufafanuzi ukipatikana toka kwa wadau wa MU itapendeza zaidi.
Ok, inaweza saidia kiasi. Naamini ikama ya TCU inafikiwa.Wanatumia wahadhiri part time mbona wako kibao
Haya mkuu, naamini una maslahi nacho. Ni vyema ukajibu kwa hoja pia.Nenda Mzumbe kafanye utafiti uje na takwimu sahihi hapa, mambo ya kufikiria ni upuuzi mtupu! Tuletee hapa takwimu safi!
Najua, nadhani hata Kibatala kasoma pale pia. Ila ukiangalia prospectus yao inaonesha idadi ya wahadhiri walionao, kwangu nimeiona hiyo idadi ya wanafunzi ni kubwa sana kwa wale walimu.Ndio wale mawakili waandamizi wa serikali wanakotokea.
Part time huwa hawawekwi kwenye prospectusNajua, nadhani hata kibatala kasoma pale pia. Ila ukiangalia prospectus yao inaonesha idadi ya wahadhiri walionao, kwangu nimeiona hiyo idadi ya wanafunzi ni kubwa sana kwa wale walimu.
Hilo la walimu wa kutosha na miundo mbinu ndiyo nimeulizia. Sina uhakika nalo.Kwani, Chuoni mnafatiliwa kama watoto?
Kwamba lazima uhakikishe umemsimamia mwanafunzi kaingia darasani, umsahishie daftari, umwajibishe kwa makosa yake?
Chuoni ni wewe na mambo yako. Kama miundombinu ya kutosheleza pamoja na walimu wapo wa kutosha, basi sioni tatizo.
Miaka mitatu kumbe? Nilidhani Tumaini pekee ndiyo hutumia miaka mitatu.
Siyo kweli, wahadhiri part time na visiting huwekwa pia kwenye prospectus. Mimi pia ni mdau wa elimu kiasi chakePart time huwa hawawekwi kwenye prospectus
Walimu wako wengi kuliko hao wa prospectus
Umeamua leta hoja nyepesi. Kuna uwiano wa wahadhiri vs wanachuo unaokubalika.Miaka hutofautiana na Vipindi hutofautiana. Swali lako ni la kitoto ni sawa kuuliza shule ina wanafunzi 2000 walimu wako 15 tu shule nzima. Umesahau kuna vipindi na wanapishana muda wa kusoma, aina ya masomo nk. Au Wakati unasoma hapo chuoni mlikuwa mnasoma SHERIA TUPU kila kipindi??
Acha fix za kitoto, kwamba hao ni wajinga wasijue idadi hiyo ila wewe mchimba chumvi ujue??Umeamua leta hoja nyepesi. Kuna uwiano wa wahadhiri vs wanachuo unaokubalika.
Kama wewe umesoma Mzumbe kwenye level ya Chuo Kikuu usingekuja na uliyoyaleta. Binafsi naiona ni idadi ndogo sana hiyo kwa dunia ya leo.Kama heading ilivyo hapo juu niende moja kwa moja kwenye hoja yangu.
Kwa mwaka wa masomo uliopo sasa (2021/22) nimesoma chuo kikuu cha Mzumbe kwa kampasi ya Morogoro na Mbeya pekee walidahili wanafunzi elfu moja wa sheria kwa mwaka wa kwanza; na kwa vile wanatoa digrii ya sheria kwa miaka 3, ninakadiria kuwa kwa sasa watakuwa na angalau wanafunzi elfu 3 wa digrii ya sheria.
Hiki kitu kimenifanya nitafakari ubora wa elimu inayotolewa hapo. Je, kuna walimu wa kuwatosha hao wanafunzi wote?
Ufafanuzi ukipatikana toka kwa wadau wa MU itapendeza zaidi.
Hoja hasa ni nini tatizo la hio idadi kwako ni nini? What has 1000 students for each year to do with your concern? Ubora kivipi kwa mfano?Kama heading ilivyo hapo juu niende moja kwa moja kwenye hoja yangu.
Kwa mwaka wa masomo uliopo sasa (2021/22) nimesoma chuo kikuu cha Mzumbe kwa kampasi ya Morogoro na Mbeya pekee walidahili wanafunzi elfu moja wa sheria kwa mwaka wa kwanza; na kwa vile wanatoa digrii ya sheria kwa miaka 3, ninakadiria kuwa kwa sasa watakuwa na angalau wanafunzi elfu 3 wa digrii ya sheria.
Hiki kitu kimenifanya nitafakari ubora wa elimu inayotolewa hapo. Je, kuna walimu wa kuwatosha hao wanafunzi wote?
Ufafanuzi ukipatikana toka kwa wadau wa MU itapendeza zaidi.