Mzumbe University(IDM) ni bora sana katika uongozi, kwanini hawapati uteuzi katika nchi hii?

mzee wa mazabe

JF-Expert Member
May 10, 2016
844
626
Zamani ilikuwa ikijulikana kama Chuo Cha Maendeleo Mzumbe( IDM) kilikuwa kimejikita sana kwenye Uongozi na baadae kikawa Chuo Kikuu Mzumbe, sikufanikiwa kusoma pale ila mzee wangu alisoma pale, Mhe. Rais kila akitumbua majipu kisha kwenye Teuzi zake lazima watoke Chuo Kikuu cha
Dar es salaam,

Chuo Kikuu cha Dar es salaam kina udhaifu mkubwa sana kwenye Uongozi chunguza tu utaona ni hao hao wanaoteuliwa ndio wanaosumbua na kutumbuliwa, kwanini Mhe.Rais asijaribu na Mzumbe maana watu pale waliandaliwa kwaajili ya uongozi kulikoni wa UDSM wapo kimasrai tu sio ki kazi.

Nimesoma UDSM najua shida zake wanapenda SIASA zaidi ya kazi kama Mhe.Rais anataka ma Professor, na Dr wazuri katika uongozi ajaribu Mzumbe nina amini akiwatumia watu hawa wa Mzumbe lazima watamletea matokeo chanya tu.
 
Zamani ilikuwa ikijulikana kama Chuo Cha Maendeleo Mzumbe( IDM) kilikuwa kimejikita sana kwenye Uongozi na baadae kikawa Chuo Kikuu Mzumbe, sikufanikiwa kusoma pale ila mzee wangu alisoma pale, Mhe. Rais kila akitumbua majipu kisha kwenye Teuzi zake lazima watoke Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Chuo Kikuu cha Dar es salaam kina udhaifu mkubwa sana kwenye Uongozi chunguza tu utaona ni hao hao wanaoteuliwa ndio wanaosumbua na kutumbuliwa, kwanini Mhe.Rais asijaribu na Mzumbe maana watu pale waliandaliwa kwaajili ya uongozi kulikoni wa UDSM wapo kimasrai tu sio ki kazi. nimesoma UDSM najua shida zake wanapenda SIASA zaidi ya kazi kama Mhe.Rais anataka ma Professor, na Dr wazuri katika uongozi ajaribu Mzumbe nina amini akiwatumia watu hawa wa Mzumbe lazima watamletea matokeo chanya tu.
Rais anachagua watu ambao anaona wanaweza kumsaidia,haangalii wamesoma wapi au wanafanyia kazi chuo gani
 
Hizi teuzi nyingi mkuu anapendekezewa majina tu baada ya kuuliza nani anaweza faa katika nafasi fulani. Kama washauri wanapendekeza hawana network na mzumbe sio rahisi kuwafikia. Lakini pia SUA ni sehemu ingine yenye maprofessor wengi. Nao wangeweza kungaliwa katika fani husika.
 
Mimi napingana na yeye kukaa anachukua ma-lecturer, hivi hajui kwamba vyuo vyetu vina uhaba mkubwa wa lecturers? Hili likomeshwe sasa! Ina maana amekosa watu huku mtaani? Mbona tuko wengi tu!!
 
Hizi teuzi nyingi mkuu anapendekezewa majina tu baada ya kuuliza nani anaweza faa katika nafasi fulani. Kama washauri wanapendekeza hawana network na mzumbe sio rahisi kuwafikia. Lakini pia SUA ni sehemu ingine yenye maprofessor wengi. Nao wangeweza kungaliwa katika fani husika.
Basi wanaopendekeza wana m miss lead kabisa maana wanaopendekezwa naona pumzi hawana wanaishiwa pumzi, na wengi wao hukosa maarifa ya uongozi.
 
Naona km kuna ushikaji ndani yake hapo Hapo Chemistry department- UDSM kaondoa lectures wawili Prof Mdoe& Dr Mobofu Dr Mdachi Bado Yupo ila nae kapewa uenyekt huko TPDC hao ni ushikaji tu hapooo... Afu cjui tufundishwe na Nani....
 
Anaona km kuna ushikaji ndani yake hapo Hapo Chemistry department- UDSM kaondoa lectures wawili Prof Mdoe& Dr Mobofu Dr Mdachi Bado Yupo ila nae kapewa Mwenyekt huko TPDC hao ni ushikaji tu hapooo... Afu cjui tufundishwe na Nani....
Kweli kabisa sasa wanafunzi wetu watafundishwa na nani kweli, ajaribu ku balance kwenye teuzi zake ajaribu kuingia vyuo vyote maana kuna wengine ni wazuri sana kwenye mawazo ya kuipeleka nchi mbele
 
Hii nchi baada waiendeshe kwa misingi ya kisheria wao wanaiendesha kwa misingi ya kisiasa inauzunisha sana
 
Zamani ilikuwa ikijulikana kama Chuo Cha Maendeleo Mzumbe( IDM) kilikuwa kimejikita sana kwenye Uongozi na baadae kikawa Chuo Kikuu Mzumbe, sikufanikiwa kusoma pale ila mzee wangu alisoma pale, Mhe. Rais kila akitumbua majipu kisha kwenye Teuzi zake lazima watoke Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Chuo Kikuu cha Dar es salaam kina udhaifu mkubwa sana kwenye Uongozi chunguza tu utaona ni hao hao wanaoteuliwa ndio wanaosumbua na kutumbuliwa, kwanini Mhe.Rais asijaribu na Mzumbe maana watu pale waliandaliwa kwaajili ya uongozi kulikoni wa UDSM wapo kimasrai tu sio ki kazi. nimesoma UDSM najua shida zake wanapenda SIASA zaidi ya kazi kama Mhe.Rais anataka ma Professor, na Dr wazuri katika uongozi ajaribu Mzumbe nina amini akiwatumia watu hawa wa Mzumbe lazima watamletea matokeo chanya tu.
Endelea kupeleka watoto wako Mzumbe, ukipanda nyasi utavuna nyasi
 
Alichukua kidogo, mfano katibu mkuu wizara ya uchukuzi sijui na nini si yuko huko Prof. Kamuzora akitokea Chuo Kikuu Mzumbe
 
Mbona kamuzora aliteuliwa kuwa katibu mkuu wa mawasiliano huyu Jamaa si product ya mzumbe
 
Alichukua kidogo, mfano katibu mkuu wizara ya uchukuzi sijui na nini si yuko huko Prof. Kamuzora akitokea Chuo Kikuu Mzumbe
Yule alikuwa Vice Chancellor pale lakini hakusoma pale alimpeleka Uchukuzi sasa yupo kwa Makamu wa Rais kama Katibu Mkuu
 
Back
Top Bottom