menyidyo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2010
- 1,339
- 194
hoja ni bumu. wakaenda kumkurupua rais wa chuo atoe maelezo nn sababu ya bumu kuchelewa kwa ajili ya mwaka wa pili? ilikuwa ni saa nne kasoro usiku huu. haya sasa kumbe na mzumbe wanagoma. ushawahi kuona samaki akirudi rivasi? bado. any way true hilo limetokea leo mzumbe.