nyasaland
Member
- Jul 3, 2009
- 46
- 16
Mimi ni mmoja wa watu walioomba master pale sasa ninachokiona ni kuwa wanaandaa mazingira ya rushwa kwa sasa wanapigia mtu mmoja mmjo simu sasa nikawa na maswali kidogo inamaana hawazi kuweka kwenye website yao au kutoa kwenye gazeti kama vyuo vingine vinavyofanya ?sikuishia nikapata namba ya huyo anayepigia watu simu wenye admission nikamuliza the same question akasema kuweka kwenye mtandao si kazi yake na nikauliza wewe si unamajina yote niangalizie basi jina akasema si kzi yake mnalionaje hili members