Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,445
- 3,402
Rais wa Marekani, Joe Biden ameagiza Wanajeshi 7,000 kupelekwa Ujerumani ili kuweza kusaidia kuimarisha kuzuia uvamizi wa Majeshi ya Urusi
Wanajeshi hao pamoja na Vifaa wezeshi wataenda Ujerumani kuwahakikishia Washirikia wa NATO kuzuia uvamizi wa Urusi na kujiandaa kuunga mkono matakwa mengine katika ukanda huo dhidi ya Urusi
Hatua hiyo inamaanisha jumla ya Wanajeshi 12,000 wamepelekwa au wameamrishwa kupelekwa Ulaya kutoka Marekani na Wanajeshi wengine 2,000 wa Marekani waliokuwa Ulaya wamesogea karibu na Mashariki kwa nchi za NATO
Wanajeshi hao wanajiunga na wengine 80,000 waliokuwepo Ulaya. Wanajeshi hao pamoja na Wanajeshi wa nchi Wanachama wa NATO walioko Ulaya wanafikisha idadi ya zaidi ya Wanajeshi Milioni 2
======
President Joe Biden has directed that 7,000 U.S. service members be deployed to Germany to enhance deterrence of Russia.
Secretary of Defense Lloyd J. Austin III has ordered the deployment of those 7,000 service members. The major unit in this tranche of troops is the 1st Armored Brigade Combat Team, 3rd Infantry Division, Fort Stewart, Georgia, said a senior defense official speaking on background.
Enabling units will also deploy. The troops will be going to Germany "to reassure NATO allies, deter Russian aggression and to be prepared to support a range of other requirements in the region," the official said.
This means some 12,000 U.S. troops, total, have deployed or been ordered to deploy to Europe from the United States and another 2,000 troops in Europe who have moved closer to NATO's eastern flank. They join 80,000 U.S. service members based in Europe. Adding in the service members of NATO members on the continent, this brings the number to more than 2 million, the official said.
Some of the U.S. troops deploying are from the group Austin put on a heightened state of readiness in January, the official said.
The troops will deploy to Germany initially, the official said. They could be repositioned to other NATO countries as needed. "We expect them to depart [the United States] in coming days," the official said.
Wanajeshi hao pamoja na Vifaa wezeshi wataenda Ujerumani kuwahakikishia Washirikia wa NATO kuzuia uvamizi wa Urusi na kujiandaa kuunga mkono matakwa mengine katika ukanda huo dhidi ya Urusi
Hatua hiyo inamaanisha jumla ya Wanajeshi 12,000 wamepelekwa au wameamrishwa kupelekwa Ulaya kutoka Marekani na Wanajeshi wengine 2,000 wa Marekani waliokuwa Ulaya wamesogea karibu na Mashariki kwa nchi za NATO
Wanajeshi hao wanajiunga na wengine 80,000 waliokuwepo Ulaya. Wanajeshi hao pamoja na Wanajeshi wa nchi Wanachama wa NATO walioko Ulaya wanafikisha idadi ya zaidi ya Wanajeshi Milioni 2
======
President Joe Biden has directed that 7,000 U.S. service members be deployed to Germany to enhance deterrence of Russia.
Secretary of Defense Lloyd J. Austin III has ordered the deployment of those 7,000 service members. The major unit in this tranche of troops is the 1st Armored Brigade Combat Team, 3rd Infantry Division, Fort Stewart, Georgia, said a senior defense official speaking on background.
Enabling units will also deploy. The troops will be going to Germany "to reassure NATO allies, deter Russian aggression and to be prepared to support a range of other requirements in the region," the official said.
This means some 12,000 U.S. troops, total, have deployed or been ordered to deploy to Europe from the United States and another 2,000 troops in Europe who have moved closer to NATO's eastern flank. They join 80,000 U.S. service members based in Europe. Adding in the service members of NATO members on the continent, this brings the number to more than 2 million, the official said.
Some of the U.S. troops deploying are from the group Austin put on a heightened state of readiness in January, the official said.
The troops will deploy to Germany initially, the official said. They could be repositioned to other NATO countries as needed. "We expect them to depart [the United States] in coming days," the official said.