Ntiliabhose
Member
- Dec 31, 2012
- 78
- 38
Habari! Jamani Kati ya watu ninaowapa BIG RESPECT humu Jf ni huyu jamaa.
Nilikuja na Uzi wangu hapa kuomba USHAURI kuhusu mambo ya ujauzito nashukuru mzizi mkavu ushauri wako jinsi ya kupunguza uchungu wakati wa kujifungua,umenisaidia sana sababu nilikuwa mmoja wa wadada wanaoogopa sana uchungu.na weng wanachagua hata kupasuliwa kuliko ku-push
Niliingia leba nikiwa na ujasiri wa ajabu kulingana na somo ulilonipa,pamoja na uchungu mkali nilivumilia na nkafanikiwa kujifungua mtoto wa kike.
Mwisho nawashukuru member wote mlionishauri jinsia ya kujiandaa,kutokana na shughuli niliyoiona leba natumia fulsa hii kuwapongeza wadada na wamama wote mliojifungua kwa kupush. Pia namuheshimu mama miaka MIA 8
Being a mother is a great experience
Nilikuja na Uzi wangu hapa kuomba USHAURI kuhusu mambo ya ujauzito nashukuru mzizi mkavu ushauri wako jinsi ya kupunguza uchungu wakati wa kujifungua,umenisaidia sana sababu nilikuwa mmoja wa wadada wanaoogopa sana uchungu.na weng wanachagua hata kupasuliwa kuliko ku-push
Niliingia leba nikiwa na ujasiri wa ajabu kulingana na somo ulilonipa,pamoja na uchungu mkali nilivumilia na nkafanikiwa kujifungua mtoto wa kike.
Mwisho nawashukuru member wote mlionishauri jinsia ya kujiandaa,kutokana na shughuli niliyoiona leba natumia fulsa hii kuwapongeza wadada na wamama wote mliojifungua kwa kupush. Pia namuheshimu mama miaka MIA 8
Being a mother is a great experience