Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,337
- 113,181
Nimeonna TBC News Saa Mbili usiku huu, wabunge wakongwe wawili, Christant Mzindakaya, (Mzee wa Kupasua Mabomu) na Paul Kimiti, wametangaza kutogombea majimbo yao uchaguzi mkuu ujao.
Wametangaza nia yao hiyo mbele ya PM-Pinda, na kueleza sababu ni kuwapisha vijana.
Wamesema ni vizuri ukaondoka kwenye uongozi wakati bado unapendwa na huku unanguvu zako na sio kusubiri mpaka uchoke hadi watu wako wakuchoke!.
Haya, hawa wazee wawili wameonyesha njia, wezee wengine waliobaki jee wanasubiri nini?
Ushauri wa bure kwa wazee hawa wafuatao. (Wataje).... wakiongozwa na Mheshimiwa sana Mzee......
Tangazeni nia zenu, mmeshajichokea sasa msisubiri mpaka mchokwe!
Wametangaza nia yao hiyo mbele ya PM-Pinda, na kueleza sababu ni kuwapisha vijana.
Wamesema ni vizuri ukaondoka kwenye uongozi wakati bado unapendwa na huku unanguvu zako na sio kusubiri mpaka uchoke hadi watu wako wakuchoke!.
Haya, hawa wazee wawili wameonyesha njia, wezee wengine waliobaki jee wanasubiri nini?
Ushauri wa bure kwa wazee hawa wafuatao. (Wataje).... wakiongozwa na Mheshimiwa sana Mzee......
Tangazeni nia zenu, mmeshajichokea sasa msisubiri mpaka mchokwe!