Mzindakaya, Kimiti na Keenja watangaza kutogombea tena

enzi zile zipi? ninavyofahamu galinoma alikuwa mbunge
kipindi kimoja, kisha uchaguzi uliofuata akapigwa mweleka
na aliyekuwa katibu wa bunge (jina limenitoka) na amerudi bungeni
2005. (kama nimekosea nisahihishwe)

Galinoma huwaanashinda muhula wa miaka 5 then kama tu labda ni sheria Mlawa huwa nae anachukua muhula unaofuatia!

Galinoma na Mlawa huwa wanabadilishana jimbo la Kalenga kila baada ya miaka 5!
 
Kimiti na Mzindakaya wana pensheni nzuri tu!wananchi wao bungeni ni umaskini wa kutupwa.
 
- Ungetegemea baada ya yote yaliyotukuta as a nation tutakua tumeamka, hivi Lowassa, Kikwete, na Rostam, Masha, Ngereja, Nchimbi na the likes ujana wao umetusaidia nini taifa kwa miaka mitano iliyopita?

- Binafsi siwezi ku-endorse ideas za kuwanyma uongozi kina Butiku na Quaresi, ambao ni wazee na sio siri tunawahitaji zaidi sasa hivi kuliko anytime in the past! na kuliko vijana wote combained tulionao kwenye madaraka ya taifa! Uchaguzi wa rais uliopita tuliambwia haya haya na sasa bado tena yale yale,

- Rostam na umri wake mdogo ametufanyia nini wanachi na taifa hili? Sometimes tunakuwa kama tumelogwa hili taifa!

Respect.

FMEs!

Points nzuri sana FMEs,nakataa kila siku hapa na nitaendelea kukataa kuwa KIJANA sio ndiyo tiketi ya kuwa kiongozi bora na wala kuwa MZEE sio ndiyo uonekane kuwa kiongozi usiyefaa!

Kule Buchosa mbunge wao ni kijana kabisa Samwel Mchele Chitalilo lkn hana uwezo kabisa achilia mbali kuwa ni darasa la 7 ndiyo shule aliyohitimu,Masha ni kijana kabisa na ni waziri wa mambo ya ndani lkn jimbo lake la Nyamagana ndiyo albino wameuawa zaidi kuliko jimbo lolote hapa tz ukiachilia mbali kashfa za ID,Kule Sengerema yupo kijana William Ngeleja na madudu yake ya ukosefu wa Umeme hapa tz na wengine wengi vijana kama akina Nchimbi na malipuko ya mabomu kule Temeke!

Kwa mawazo yangu,uongozi ni hekima na wala umri sio kigezo,ni heri na nitafurahi kama Mungu Mtu-Ngeleja(rejea kwenye sakata lake la hivi sasa la ITM alipomuambia yule mlinzi"je unanifahamu mimi ni nani")ajiuzuru kuliko kwa mzee mwenye busara na asiye na hila kama Paul Kimiti au Jackson Makwetta kung'atuka!
 
Points nzuri sana FMEs,nakataa kila siku hapa na nitaendelea kukataa kuwa KIJANA sio ndiyo tiketi ya kuwa kiongozi bora na wala kuwa MZEE sio ndiyo uonekane kuwa kiongozi usiyefaa!

Kule Buchosa mbunge wao ni kijana kabisa Samwel Mchele Chitalilo lkn hana uwezo kabisa achilia mbali kuwa ni darasa la 7 ndiyo shule aliyohitimu,Masha ni kijana kabisa na ni waziri wa mambo ya ndani lkn jimbo lake la Nyamagana ndiyo albino wameuawa zaidi kuliko jimbo lolote hapa tz ukiachilia mbali kashfa za ID,Kule Sengerema yupo kijana William Ngeleja na madudu yake ya ukosefu wa Umeme hapa tz na wengine wengi vijana kama akina Nchimbi na malipuko ya mabomu kule Temeke!

Kwa mawazo yangu,uongozi ni hekima na wala umri sio kigezo,ni heri na nitafurahi kama Mungu Mtu-Ngeleja(rejea kwenye sakata lake la hivi sasa la ITM alipomuambia yule mlinzi"je unanifahamu mimi ni nani")ajiuzuru kuliko kwa mzee mwenye busara na asiye na hila kama Paul Kimiti au Jackson Makwetta kung'atuka!

Malafyale,
Hivi huoni kuwa kuna tofauti kubwa kati ya kung'atuka na kutangaza kutongombea?. Maana mizee hiyo-tajwa hapo juu haitaaachia ubunge mpaka kikao cha mwisho kabisa cha bunge pale linapofungwa ati.

Na pia usishangae kuona kuwa watahusika sana tu kwenye kampeni za ubunge kwa ajili ya watoto wao ama mashaiba wao. Ikimaanisha kwamba uchafu wao utaendelea tena na tena.

Haya mambo ya kulilia watu waendelee kuwa wabunge miaka nenda rudi bila kuleta maendeleo ya kweli majimboni mwao eti tu kwa sababu ni wazee wenye busara hayatatufikisha popote waTanganyika!!!

Mwisho, nakubaliana na wewe na siwafagilii vijana walonyesha udhaifu kama hao uliowataja (ze Ngelejas). La msingi ni kutambua kwamba Tanganyika ina watu wengi (wazee kwa vijana) wenye uwezo mzuri wa kuleta maendeleo ya kweli hivyo basi haina haja ya kung'ang'ania mtu au watu fulani awe/wawe wabunge milele kama uchifu vile.

Amani.
 
Points nzuri sana FMEs,nakataa kila siku hapa na nitaendelea kukataa kuwa KIJANA sio ndiyo tiketi ya kuwa kiongozi bora na wala kuwa MZEE sio ndiyo uonekane kuwa kiongozi usiyefaa!

Kule Buchosa mbunge wao ni kijana kabisa Samwel Mchele Chitalilo lkn hana uwezo kabisa achilia mbali kuwa ni darasa la 7 ndiyo shule aliyohitimu,Masha ni kijana kabisa na ni waziri wa mambo ya ndani lkn jimbo lake la Nyamagana ndiyo albino wameuawa zaidi kuliko jimbo lolote hapa tz ukiachilia mbali kashfa za ID,Kule Sengerema yupo kijana William Ngeleja na madudu yake ya ukosefu wa Umeme hapa tz na wengine wengi vijana kama akina Nchimbi na malipuko ya mabomu kule Temeke!

Kwa mawazo yangu,uongozi ni hekima na wala umri sio kigezo,ni heri na nitafurahi kama Mungu Mtu-Ngeleja(rejea kwenye sakata lake la hivi sasa la ITM alipomuambia yule mlinzi"je unanifahamu mimi ni nani")ajiuzuru kuliko kwa mzee mwenye busara na asiye na hila kama Paul Kimiti au Jackson Makwetta kung'atuka!

- Mlafyale hili taifa tuna matatizo sana ya elimu ya siasa, pole pole ninaanza kufikiria tena kama we were better off na Lowassa, maana atleast siku zile ulikuwa unaisikia serikali ikifanya vitu kuliko kusubiri kuji-defend na kashfa kila siku, sasa serikali unaisikia Mkuchika akifungia magazeti tu, ndio unakumbuka kua kumbe serikali ipo!

- Otherwise, tumekalia emotions tu akifukuzwa waziri au kiongozi flani tunashangailia tu as if tutakutana naye kwenye dala dala, hawa kina Kimiti na Mzindakaya tayari wameshatayarisha watoto wao kuchukua majimbo yao, sisi tunashangilia tu ndio maana ninasema ninaanza kuwa na wasi wasi sana na idea kwamba huenda we were better off na Lowassa! ingawa ni fisadi wa kutupwa!

- Wasi wasi wangu sasa ni kwamba tumeruhusu sana wageni kutuibia taifa huku viongozi wetu wakiambulia hela ndogo sana, na sisi taifa ndio tunaisha pole pole!

Respect.


FMEs!
 
Kigezo pekee cha kuchagua kiongozi ni uchapakazi, uadilifu ,na hekima na si elimu,jinsia,rika au vinginevyo tusiwe tunatafuta majibu rahisi kwa maswali magumu!
 
Kigezo pekee cha kuchagua kiongozi ni uchapakazi, uadilifu ,na hekima na si elimu,jinsia,rika au vinginevyo tusiwe tunatafuta majibu rahisi kwa maswali magumu!

- I can't wait kuona wazee Butiku na Quaresi wakichukua fomu, lazima nitawapa kura yangu!

Respect.


FMEs!
 
...............ni heri na nitafurahi kama Mungu Mtu-Ngeleja...............ajiuzuru kuliko kwa mzee mwenye busara na asiye na hila kama Paul Kimiti au Jackson Makwetta kung'atuka!

Ndaga Malafyale
 
- Ungetegemea baada ya yote yaliyotukuta as a nation tutakua tumeamka, hivi Lowassa, Kikwete, na Rostam, Masha, Ngereja, Nchimbi na the likes ujana wao umetusaidia nini taifa kwa miaka mitano iliyopita?

- Binafsi siwezi ku-endorse ideas za kuwanyma uongozi kina Butiku na Quaresi, ambao ni wazee na sio siri tunawahitaji zaidi sasa hivi kuliko anytime in the past! na kuliko vijana wote combained tulionao kwenye madaraka ya taifa! Uchaguzi wa rais uliopita tuliambwia haya haya na sasa bado tena yale yale,

- Rostam na umri wake mdogo ametufanyia nini wanachi na taifa hili? Sometimes tunakuwa kama tumelogwa hili taifa!

Respect.

FMEs!
.

1.Kweli Vijana hawajatufanyia kitu chochote,lakini hiyo inaweza kuwa ni 10% ya vijana walioko madarakani.

2.Je?, wazee ambao ni wabunge na viongozi, wao wametufanyia nini?(Ukianzia na Mkapa enzi za Urais wake -mpaka Baraza Lote la mawaziri).

3.Quaresi, amewahi kuwa mkuu wa mkoa wa mbeya wakati huo mimi ni mwanafunzi pale Sangu.Huyo ndiyo ng'ombe ngo'mbe na watu wa mkoa wa mbeya hawataki hata kumsikia.Tetemeko la ardhi lilivyotekea mkoa wa mbeya, yeye alitumia muda huo kuwakashifu wananchi kuwa nyumba zilizobomoka kwa tetemeko,hazikuwa imara.

4.Point hapo ni kwamba wazee nao wamezidi na wengi wao katika uongozi wao wana ile ndiyo mzee.Mfano ni Basil Mramba.Kila kitu anasema taarifa ilitoka Ikulu.Sasa kama taarifa ilitoka Ikulu na Uko against nayo kwanini usijuzulu?.
 
Kigezo pekee cha kuchagua kiongozi ni uchapakazi, uadilifu ,na hekima na si elimu,jinsia,rika au vinginevyo tusiwe tunatafuta majibu rahisi kwa maswali magumu!

Hakuna cha hekima hapo mkuu.Wazee kama Malecela,Kingunge and the likes wameshajichokea na uwezo wao wa kufikiri unapungua kila kukicha hivyo ni heri wakapumzika.Hekima gani unayoihitaji sasa hivi kutoka kwa Kingunge au Malecela?Vizee vimechoka even physically halafu unasema viendelee.Havina nguvu hivi vizee,huo uchapakazi utatoka wapi?Au bado unaamini spin za Malecela eti urais siyo kubeba zege?
 
badala ya "vijana" kungojea "wazee" wang'atuke kwanini wasijitokeze
kwenda kugombea ili wawapige mweleka hao wazee? au ndi ile ile hulka ya kupenda dezo?

inatakiwa vijana wajinadi ni nini watafanya tofauti na "wazee" ili nhi iweze kusonga mbele. hakika kwa hesabu za harakaharaka vijana wanaweza kutumia wingi wao kuwang'oa hao wazee. lakini ukweli ni kwamba vijana hao hao ndio wamewapigia kura hao "wazee".
.

Mkuu Kafara,
Vijana tunao hapa na wanajaribu kujitokeza na wameonyesha uwezo mkubwa sana katika jamii husika,Lakini tatizo lipo hapa kwa wana Jf.Wengine wanatukana na mpaka kukatisha tamaa vijana na Kisa ni wivu kama demu
 
.

Mkuu Kafara,
Vijana tunao hapa na wanajaribu kujitokeza na wameonyesha uwezo mkubwa sana katika jamii husika,Lakini tatizo lipo hapa kwa wana Jf.Wengine wanatukana na mpaka kukatisha tamaa vijana na Kisa ni wivu kama demu

- JF hatuamui nani awe kiongozi wa taifa, ila tunashauri tu na kwa sababu ni demokrasia at work, kila member hapa ana haki ya kushauri anavyotaka kwa kutumia hoja, investing all your efforts hapa JF badala ya huko ground zero sina hakika kama worthy!

- Halafu hapa kuna ushauri ambao ni negative na positive, sasa ni uamuzi wa kiongozi kuchukua upi, badala ya kupigana na washauri!

Respect.

FMEs!
 
pana mbunge wa Iramba Mashariki mie tangu nikiwa primary school (1995) alikua mbunge na hadi sasa naelekea maliza university naskia ni bado mbunge....jina limenitoka kidogo.....sijui atagombe tena..maana nakumbuka kwenye moja ya kikao chake cha kampeni aliwaomba wananchi wasimpigie kura mgombea mwingine ila yeye tu kwa maana alidai tayari anamimba ya maendeleo na alikua mbioni kujifungua maendeleo.........I gues atakua tayari keshajifungua maendeleo......pls kama pana mtu wa Hilo jimbo let me know this jamani......
 
pana mbunge wa Iramba Mashariki mie tangu nikiwa primary school (1995) alikua mbunge na hadi sasa naelekea maliza university naskia ni bado mbunge....jina limenitoka kidogo.....sijui atagombe tena..maana nakumbuka kwenye moja ya kikao chake cha kampeni aliwaomba wananchi wasimpigie kura mgombea mwingine ila yeye tu kwa maana alidai tayari anamimba ya maendeleo na alikua mbioni kujifungua maendeleo.........I gues atakua tayari keshajifungua maendeleo......pls kama pana mtu wa Hilo jimbo let me know this jamani......

pengine alipata miscarriage, inabidi mumchague(mumpe mimba nyingine ya maendeleo)!!
 
pana mbunge wa Iramba Mashariki mie tangu nikiwa primary school (1995) alikua mbunge na hadi sasa naelekea maliza university naskia ni bado mbunge....jina limenitoka kidogo.....sijui atagombe tena..maana nakumbuka kwenye moja ya kikao chake cha kampeni aliwaomba wananchi wasimpigie kura mgombea mwingine ila yeye tu kwa maana alidai tayari anamimba ya maendeleo na alikua mbioni kujifungua maendeleo.........I gues atakua tayari keshajifungua maendeleo......pls kama pana mtu wa Hilo jimbo let me know this jamani......

Huyu Mbunge wa Iramba Mashariki unayemzungumzia atakuwa Mh.Mgana Msindai.
 
Mzee Mwanakijiji, Nakuunga mkono kwa asilimia 100% kuwa ' Age an't nothing but a number!', ila pia lazima tufike mahali tukubali baadhi ya hawa Wazee wetu ni 'spent force' they were good, bright and brilliant but now they are only left with 'ukubwa dawa', nothing more to offer. Pia tuweke standard performance ya wabunge wetu, ili ikifikia mahali kuna mbunge, sio waziri, hajawahi kuuliza swali lolote bungeni, hawajawahi changia mjadala wowote bungeni, fukuzia mbali, maana he/she is good for nothing.

Pasco.. as long as wamepoteza uwezo wa kuongoza hawana nafasi; this applies even to the young politicians who have no ability to lead the nation. It includes even the very prominent politician in the country.
 
2005 watanzania walidanganywa kuwa wanahitaji rais kijana, na mgombea wa CCM pamoja na kuwa na miaka zaidi ya 50 wakaambiwa kuwa ndiye kijana anayefaa kuongoza. Naona Kikwete alikuwa sahihi kwa takwimu zake hasa ile ya 70% fata upepo!
 
The Following 6 Users Say Thank You to Pasco For This Useful Post: Kafara (Yesterday), Mrimu (Today), MtazamoWangu (Yesterday), Mzee Mwanakijiji (Yesterday), mzittokabwela (Yesterday), Ogah (Today)

The Following 4 Users Say Thank You to Magezi For This Useful Post: Jasusi (Today), Malafyale (Today), Mzee Mwanakijiji (Yesterday), Pasco (Yesterday)

The Following User Says Thank You to Nemesis For This Useful Post: Mzee Mwanakijiji (Yesterday)

The Following 3 Users Say Thank You to Pretty For This Useful Post: Mzee Mwanakijiji (Yesterday), Ogah (Today), Pasco (Yesterday)

The Following 2 Users Say Thank You to bnhai For This Useful Post: Mzee Mwanakijiji (Yesterday), Pasco (Yesterday)

The Following 2 Users Say Thank You to Pdidy For This Useful Post: Mzee Mwanakijiji (Yesterday), Pasco (Yesterday)

The Following 3 Users Say Thank You to Sisimizi For This Useful Post: Mzee Mwanakijiji (Yesterday), Ogah (Today), Pasco (Yesterday)

The Following 2 Users Say Thank You to omarilyas For This Useful Post: Mzee Mwanakijiji (Yesterday), Pasco (Yesterday)

The Following 2 Users Say Thank You to Bulesi For This Useful Post: Mzee Mwanakijiji (Yesterday), Pasco (Yesterday)

The Following 4 Users Say Thank You to Cynic For This Useful Post: mzanganyika (Today), Mzee Mwanakijiji (Yesterday), Ogah (Today), Pasco (Yesterday)


Naona MM sio mchoyo wa senksi !!
 
Back
Top Bottom