Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 4,941
- 6,187
Kwa wale ambao mmefuatilia hotuba ya Rais Magufuli.Ukweli ni kwamba hotuba ile imebeba mambo mazito na leadership quality za hali ya juu sana.
Leo tumemuona Magufuli wa 2015/16, maana hapa kati alitullia kidogo.
Mzee mkongwe Mzindakaya kaeleza mambo manne moja ikiwa ni kwamba Magufuli ana dhamira ya kweli ya kuleta maandeleo na anasimamia anachokitaka.
Ukweli Rais Magufuli yuko tofauti sana na watu wengi,anajiamini na hataki mchezo.Rais Magufuli ninamuweka kati ya marais tatu bora barani Afrika.
Time will tell wale wasio muelewa watamuelewa tu.
Leo tumemuona Magufuli wa 2015/16, maana hapa kati alitullia kidogo.
Mzee mkongwe Mzindakaya kaeleza mambo manne moja ikiwa ni kwamba Magufuli ana dhamira ya kweli ya kuleta maandeleo na anasimamia anachokitaka.
Ukweli Rais Magufuli yuko tofauti sana na watu wengi,anajiamini na hataki mchezo.Rais Magufuli ninamuweka kati ya marais tatu bora barani Afrika.
Time will tell wale wasio muelewa watamuelewa tu.