najulikana
New Member
- Oct 25, 2017
- 2
- 3
Naandika thread hii nikiwa na uchungu mno nikiwa kama muhanga wa HESLB na wakuu fulani fulani ambao wamezoea kuassume tu kila wakat kama walivyokua wanafanya ana ana anado kipindi wapo mashuleni wakitafuta majibu ya maswali yaliyowashinda, naongea hakilillahi kukatisha ndoto na mtu asiekua na sababu maalum n dhamb kubwa kulko hata ile ya petro kumkana yesu maan alsemehewa.
POINT! Unasemaje kama uliweza kujilipia diploma bac unaweza kujilipia degree kwann hukuyasema hayo before watu hawajaanza dploma kbs ili wafaham kam kama huna uwezo huo ndo mwsho wa elim yao?
Umechukua vdhibit gan vya maisha ya hao waliojilipia diploma kwa hali ya ss useme wanaweza kujilipia degree ilhali ukijua kwamba elimu ya juu ni elimu ghali kuliko hyo ya dploma?
NINAMENGI YA KUJIULIZA ILA NGOJA KWANZA NIPATE MAJBU YA HAYO NTARUDI TENA
POLENI WAGANGA NJAA WENZANGU TULIOKARIBU NA MITANDAO KUFATILIA BATCH YA 3 MUNGU YU PA1 NASI KUNA MTU ATABADILI MAWAZO ATATUONA NA SISI
POINT! Unasemaje kama uliweza kujilipia diploma bac unaweza kujilipia degree kwann hukuyasema hayo before watu hawajaanza dploma kbs ili wafaham kam kama huna uwezo huo ndo mwsho wa elim yao?
Umechukua vdhibit gan vya maisha ya hao waliojilipia diploma kwa hali ya ss useme wanaweza kujilipia degree ilhali ukijua kwamba elimu ya juu ni elimu ghali kuliko hyo ya dploma?
NINAMENGI YA KUJIULIZA ILA NGOJA KWANZA NIPATE MAJBU YA HAYO NTARUDI TENA
POLENI WAGANGA NJAA WENZANGU TULIOKARIBU NA MITANDAO KUFATILIA BATCH YA 3 MUNGU YU PA1 NASI KUNA MTU ATABADILI MAWAZO ATATUONA NA SISI