Musa Simon
Member
- Mar 4, 2017
- 31
- 28
Jaman kwani vipi tena mzimu wa lissu umefanya nini?
Atakuwa alienda kupigana vita ya kiuchumiUtafikiri hata vitani amewahi kwenda. Lakini Jiwe lazima atubu hadharani yeye ndie alipanga huu unyama.
Atakosekanaje, amekuwa akila na kunywa mezani mwa mtawala mwuaji tangu siku ya kwanza alipoiba kura na kunyakua madaraka"Wakati mwingine si rahisi mtu profesa wa chuo kikuu, ama kiongozi mkubwa kujiita kichaa ama kusema kaokotwa jalalani kama si kusumbuliwa na mzimu wa kujaribu kumwaga damu isiyo na hatia!"
Unataka kusema huyu jamaa naye alikuwepo kwenye hicho kikao ?
Amini Usiamini hii kitu Mungu hatawaacha wauaji hawa mpaka awaabishe.Maandiko yanasema kazi ya kulipa kisasi ni ya Mungu Mwenyewe. Bahati nzuri sana ukimuangalia Lussu unaona kabisa hana Mpango wa kulipa kisasi,Amemwachia Mungu.Kwa kitendo cha Mungu kutoruhusu uhai wa Lissu utoke ni wazi hataweza kuwaacha salama wauaji hawa.Kuna Siku mchana kweupe kuna watu wataumbuliwa na Mungu.Tuvute Subira tu.Nimekaa zangu leo Jumapili baada ya kutoka Kanisani namtafakari Mungu na uweza wake wa ajabu, namtafakari alivyomwokoa Lissu kutoka Kifo na kumponya vidonda vilivyotokana na mateso ya majeraha ya risasi 38 zilizotoboa mwili wake wote...
Kwamba kuna watu na akili zao timamu(in fact wendawazimu), pengine tumewaamini na kuwapa dhamana ya kuongoza serikali walifanya kikao kabisa na Agenda na maazimio ya kikao chao ikawa ni kumwua Lissu???
how is that possible?
Napatwa na hasira lkn namwambia Mungu kwa kuwa yeye ndiye Bwana wa Uzima, sipaswi kuwa na huzuni itakayonipa hasira na mimi kutenda uovu ule waliomtendea Lissu, mimi napaswa kuomba AMANI kwa ajili ya nchi yangu..
Kisasi ni cha Mungu mwenyewe...
Nafahamu shingo za waovu(ambao huenda ni wenye dhamana sasa ya kuongoza serikali) - zitaishi kwa uzito wa kuelemewa na dhambi waliyoitenda ya kumwumiza Lissu, na ninaamini watakufa wengi kwa vifo vya aibu na fedheha Lissu akiwa hai, akiwashuhudia...
Wakati mwingine si rahisi mtu profesa wa chuo kikuu, ama kiongozi mkubwa kujiita kichaa ama kusema kaokotwa jalalani kama si kusumbuliwa na mzimu wa kujaribu kumwaga damu isiyo na hatia!
Mzimu wa kufikiri, kupanga na kutekeleza mpango wa mauaji dhidi ya Lissu uwaandame waovu, na ikiwezekana uwanyonge!
Maneno hayo yaliwahi kutamkwa na Magufuli Yohana.Kuna mzee mmoja alisikika akisema
Msaliti vitani adhabu yake ni kifo.
Baada ya muda mfupi TL akamiminiwa risasi za kutosha.
Huyu huyu John wa chattle ?Maneno hayo yaliwahi kutamkwa na Magufuli Yohana.
AaaminNimekaa zangu leo Jumapili baada ya kutoka Kanisani namtafakari Mungu na uweza wake wa ajabu, namtafakari alivyomwokoa Lissu kutoka Kifo na kumponya vidonda vilivyotokana na mateso ya majeraha ya risasi 38 zilizotoboa mwili wake wote...
Kwamba kuna watu na akili zao timamu(in fact wendawazimu), pengine tumewaamini na kuwapa dhamana ya kuongoza serikali walifanya kikao kabisa na Agenda na maazimio ya kikao chao ikawa ni kumwua Lissu???
how is that possible?
Napatwa na hasira lkn namwambia Mungu kwa kuwa yeye ndiye Bwana wa Uzima, sipaswi kuwa na huzuni itakayonipa hasira na mimi kutenda uovu ule waliomtendea Lissu, mimi napaswa kuomba AMANI kwa ajili ya nchi yangu..
Kisasi ni cha Mungu mwenyewe...
Nafahamu shingo za waovu(ambao huenda ni wenye dhamana sasa ya kuongoza serikali) - zitaishi kwa uzito wa kuelemewa na dhambi waliyoitenda ya kumwumiza Lissu, na ninaamini watakufa wengi kwa vifo vya aibu na fedheha Lissu akiwa hai, akiwashuhudia...
Wakati mwingine si rahisi mtu profesa wa chuo kikuu, ama kiongozi mkubwa kujiita kichaa ama kusema kaokotwa jalalani kama si kusumbuliwa na mzimu wa kujaribu kumwaga damu isiyo na hatia!
Mzimu wa kufikiri, kupanga na kutekeleza mpango wa mauaji dhidi ya Lissu uwaandame waovu, na ikiwezekana uwanyonge!
Hatuoni tu lkn washaanza kunyooshwa, mara RPC kajinyonga, mara rofa jingine linakili kuokotwa jalalani, mara lile libosi la bungeni daily liko India mpaka vidole vyake vya miguu vyote wamevisaga.Ivi kuna nini kumetokea sorry
Na walaniwe kabisa hawa maibilisi waliokaa chini na kupanga kumuua Lissu.
Shetani mwingine huyu sawa sawa na wale mashetani waliopanga kumua Lissu!!!Wewe umejificha nyuma ya screen unatoa laana..Njoo public na hizo laana zako ujione kitakacho kupata..
Hatuoni tu lkn washaanza kunyooshwa, mara RPC kajinyonga, mara rofa jingine linakili kuokotwa jalalani, mara lile libosi la bungeni daily liko India mpaka vidole vyake vya miguu vyote wamevisaga.
Nadhan tuzidi kumuombea sana Lissu pia tuzidi kuomba rahana mbaya ziwafike wote wote waliohusika akiwemo bashite
Natamani Mungu ampende zaidi huyu bazazi wa Kinyarwanďa anayejidai ni Msukuma
Wengi watakufa kwa majuto wasijue cha kufanya. Waliopanga, walioratibu, waliotekeleza, waliosimamia, waliofadhili, waliofurahia. Mnyororo ni mrefu sana.Nimekaa zangu leo Jumapili baada ya kutoka Kanisani namtafakari Mungu na uweza wake wa ajabu, namtafakari alivyomwokoa Lissu kutoka Kifo na kumponya vidonda vilivyotokana na mateso ya majeraha ya risasi 38 zilizotoboa mwili wake wote...
Kwamba kuna watu na akili zao timamu(in fact wendawazimu), pengine tumewaamini na kuwapa dhamana ya kuongoza serikali walifanya kikao kabisa na Agenda na maazimio ya kikao chao ikawa ni kumwua Lissu???
how is that possible?
Napatwa na hasira lkn namwambia Mungu kwa kuwa yeye ndiye Bwana wa Uzima, sipaswi kuwa na huzuni itakayonipa hasira na mimi kutenda uovu ule waliomtendea Lissu, mimi napaswa kuomba AMANI kwa ajili ya nchi yangu..
Kisasi ni cha Mungu mwenyewe...
Nafahamu shingo za waovu(ambao huenda ni wenye dhamana sasa ya kuongoza serikali) - zitaishi kwa uzito wa kuelemewa na dhambi waliyoitenda ya kumwumiza Lissu, na ninaamini watakufa wengi kwa vifo vya aibu na fedheha Lissu akiwa hai, akiwashuhudia...
Wakati mwingine si rahisi mtu profesa wa chuo kikuu, ama kiongozi mkubwa kujiita kichaa ama kusema kaokotwa jalalani kama si kusumbuliwa na mzimu wa kujaribu kumwaga damu isiyo na hatia!
Mzimu wa kufikiri, kupanga na kutekeleza mpango wa mauaji dhidi ya Lissu uwaandame waovu, na ikiwezekana uwanyonge!
Lema alituongopea! Ndoto gani haitimiiiii?Natamani Mungu ampende zaidi huyu bazazi wa Kinyarwanďa anayejidai ni Msukuma