Wajinga tushawashtukiaKwa wenye kumbukumbu kikombe za Mzee Ambilikile Mwasapile wa Loliondo (Samunge) kilipewa airtime kubwa hata kufunika mijadala muhimu ya kitaifa kwa wakati ule (refer sakata la Dowans) naona kaibuka mwingine kwenye nyakati zingine, kweli Tz matukio hayaishi (full of wonders but not miracles).
Okay ngoja nilipakue nione ujinga wa watanzania wenzangu.Tafuta Gazeti la Nipashe ya leo.
Walivyo wajinga wanamtangaza huku wamesahau wanahubiri kua huduma za afya vimerekebishwa kwa kiwango kikubwa.Anatibu nn hasa na iweje watu wamiminike kwa wingi hivi ina maana nchi imejaa wagonjwa kiasi hiki?