Kimpyempye
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 722
- 1,147
Ni bahati mbaya watu wengi ama hawajui au wanajidai kutojua. Ukweli ni kwamba Nyerere ndiye ameifanya hii nchi kuwa hivi leoNyerere ndo chanzo cha haya yote....
Ni bahati mbaya watu wengi ama hawajui au wanajidai kutojua. Ukweli ni kwamba Nyerere ndiye ameifanya hii nchi kuwa hivi leoNyerere ndo chanzo cha haya yote....
Kama ulimuua Ben saanane kama ulivyokuwa unamtishia hapa na ushaidi upo mzimu wake hatokuacha huru mpaka unaingia kaburini nakushauri utumie muda huu kutubu humuhumu ulikokuwa unamtolea vitisho
Nini mzimu wake huyo Nyerere yeye mwenyewe akifufuka atapewa shit tu!!!Hayati Baba wa Taifa inasemekana kabla ya kututoka aliweka kila kitu kwenye mstari. Ndie Rais alitwala muda mrefu na ndie Rais aliona mengi nakujuwa mengi kuliko watangulizi wake.
Kutokana na vile aliona mengi Mwalimu aliona miaka miamoja ya Taifa hili hivyo aliweka mikakati yakuhakikisha hatukosei na ndani ya chama pamoja na TISS aliunda kikoSi KAZI ambacho uwenda kilikuwa na nguvu Sana mpaka akiwa nje ya madaraka macho yalikuwa kwake.
Labda hatujuwi Ma Rais wa staafu huwa ni sehemu ya serikali na wananguvu japo hatuzioni. Hayati Baba wa Taifa aliona mbali na uwenda aliona huu wakati tunapita leo.
Kwa Kuwa hakuwa binadamu wa kawaida uwenda aweza Kuwa bundi anayelia masikioni mwa makachero na viongoz wakuu wakitaifa Ambao walikuwa naye.
Hiki kinaendelea kwenye siasa Sio kitu kigeni na uwenda hakina viashiria vizuri hasa kutokana na chama CCM kipo kimya na hata wasomi wakubwa MTU kama Prof Shivji wote wamefumba midomo hii sio kiashiria kizuri.
Mwalimu Alisha wahusia hawa wazee na uwenda wamekaa pembeni wanasubiri mzimu wa Nyerere ufufuke na niukweli usio pingika Mzimu wa Hayati Baba Wa Taifa ukifufuka kila MTU ataingia chini ya uvungu.
Embu jiulize kinga yakutoshitakiwa Jaji Mkuu na Spika wa Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania ina maana gani?
Mihimili mnayo igusa nakuipa kinga itawafufua walio lala na inazidi kuleta maswal mengi yasio namajibu.
Nashauri someni vyema maagizo na ushauri wa wazee wa Taifa hili msije mkafurahisha watu.
Upo msemo unasema ukipenda kushangiliwa Sana basi pia ukubali kuzomewa. Asante
Atakuwa ndie jiwe mwenyewe akitumia feki ID
More than 3times...
Ile ndio ilikuwa tz
Hii tz ya sasa imejaa mazezeta wengi sana