kisadolini
Member
- Jun 15, 2016
- 57
- 17
Anahangaikaje hebu fafanua vizuriBen Saanane naona anahangaika sana siku hizi
Anahangaikaje hebu fafanua vizuriBen Saanane naona anahangaika sana siku hizi
I knew haters gonna hate!unataka kuolewa na huyo muhuni? Kazi yake kubwa ni kudandia wake za watu
Ben Saanane naona anahangaika sana siku hizi
Na hii ndo tafsiri tuliomezeshwa toka kwa watawala wa kiafrica ukiwa mkosoaji au chama pinzani bas unakuwa sio mwanachi wa nchi husika ukiwa muungaji mkono na kura zako za ndio kwa kila kitu bas ww na mtz halali kama sio bas ww unakuwa mhamiaji
Hii kesi iliyofunguliwa haijafunguliwa na wananchi kwa sababu kuu zifuatazo
1.Hii kesi kusema imefunguliwa na wananchi sio kweli imefunguliwa na watu wa Kilimanjaro.Angalia asilimia kubwa ya wafunguaji kesi wanatoka kilimanjaro na wakili kilimanjaro.
2.Imefunguliwa na chama kimoja na wanachama wa chama kimoja wakati Tanzania ina vyama vingi na ina watu wasio na vyama
Ingekuwa ya wananchi ingehusisha watu toka mikoa yote ya tanzania na Zanzibar na vyama vyote na watu wasio na vyama.
Hii kesi isomeke kuwa ni KILIMANJARO vs REPUBLIC case OF 2016
Bunge lenyewe si linaishia hivo
Kuna wimbo mmoja unaimba Cho.go.lo. unaufahamu? (rejea kanuni za JF)Ritz kapata udc wa wapi kqa jina gan
umeharibu ndoa ya dada angu wa UVCCM rombo umemshawishi moaka amehama chama...tunakuwinda uingie anga zetu hatujasahau cha moto utakionaI knew haters gonna hate!
Halafu,Pole! Unao ushahidi wowote kutoka kwa credible source ndani ya ndoa yako? Kama alikuambia then i'll make her famous!
Na wewe ni great thinker? Utakuwa ki/laza bila shaka.. vila/za kama nyie ndo mnarudisha maendeleo yetu nyuma, vinginevyo ni bora ukafumba domo kuficha utumbaf wakoHicho ndicho kitawafanya wawe masikioni mwa umma wa Watanzania. Hawana hoja za msingi nao wanajua hilo. Haki za kupata taarifa sawa namna gani mnapata taarifa ni jukumu la mtoa taarifa
kwani wana chadema na wana ukawa sio wananchi?cha msingi hapa ni maudhui ya mleta uzi hapa umeeleweka au la.mtoa mada ungesema tu specific kuwa ni wana chadema na wana ukwa kwa pamoja wamefungua kesi kuliko kutumia neno wananchi,maana huo mzimu hauwatesi wananchi bali wanaukawa na wanachadema kwa umoja wao...
Wee bunge live umeliona wapi mpaka unasema halijapigwa marufuku...Wataangukia pua kama ilivyokuwa kwenye mita 200....Bunge live halijapigwa marufuku...sijui wanachotafuta mahakamani ni kipi au labda kuna maslahi flani ya kuendesha hizi kesi zisizo na kichwa wala miguu
Mwanangu mama yako hajakuambia kwamba yeye hamtambui baba yako hivyo kuwa na heshima kwa kila mwanaume huenda akawa baba yako. Basi nitamwambia aendelee kukukanya kwani tabia njema ni silaha nzuri kuyakabili maisha.Na wewe ni great thinker? Utakuwa ki/laza bila shaka.. vila/za kama nyie ndo mnarudisha maendeleo yetu nyuma, vinginevyo ni bora ukafumba domo kuficha utumbaf wako
umeharibu ndoa ya dada angu wa UVCCM rombo umemshawishi moaka amehama chama...tunakuwinda uingie anga zetu hatujasahau cha moto utakiona
umeharibu ndoa ya dada angu wa UVCCM rombo umemshawishi moaka amehama chama...tunakuwinda uingie anga zetu hatujasahau cha moto utakiona
Unata akuoe?Ben umeoa?
Achana nao hao wasaga sumuOk... .!