mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,641
Sasa kwa upepo wa mbeya unga ukianikwa nje kwanni usipeperuke
waache imani za ajabu ajabu
waache imani za ajabu ajabu
Kwani hapo wameamini au unga na nafaka zao zinapotelea hewani? We we hicho kitendo ungekiitaje?Hii nchi kwa kuamini uchawiii ndio maana hatuendelei
Si ni watu wanaibaKwani hapo wameamini au unga na nafaka zao zinapotelea hewani? We we hicho kitendo ungekiitaje?
Israel ndiko alikotokea Yesu kwa maana hiyo kuwa na makanisa mengi sio kwamba ndo wate wanamjua Munguhii sasa kali ya mwaka duu,lakin Mbeya si ndiko kunaongoza kwa makanisa mengi kulikoni kamzim tu tena
'kala unga' wanakashindwa!